SERVICE PROVIDED by First Security Co LTD
Our Security Officers are selected, trained and equipped for a variety of environments and situations, our policy is to use only long serving guards who have proved themselves to be both trustworthy and mature enough to shoulder the responsibility of...
Hakuna hoja hapa, kumbuka CHADEMA ni chama cha siasa na sio REAL ESTATES COMPANY, kuna vipaumbele vingi katika taasisi kubwa kama CHADEMA, mimi kama mchumi siwezi kukubaliana moja kwa moja na hoja yako ya kununua ardhi na kujenga majengo endapo majengo ya kukodi yapo na ni gharama nafuu kuliko...
We offer a service of tax consultant, financial statements preparation for TRA,BANK,Management or any other user for companies,organisation,individual etc.
Tunatoa huduma ya ushauri wa kodi za TRA, Pia tunatengeneza mahesabu ya kampuni,watu binafsi,taasisi mbalimbali n.k kwa ajili ya...
Unanishangazaga sana Juliana Shonza unapojifanyaga unaijua sana chadema na viongozi wake wakati wewe hukuwahi kufanya chochote chadema,, we mshukuru kamanda Heche kukufukuza ukafahamika na wajinga wenzio waliokupa kazi ya ubeki tatu singida.
Unanishangazaga sana Juliana Shonza unapojifanyaga unaijua sana chadema na viongozi wake wakati wewe hukuwahi kufanya chochote chadema,, we mshukuru kamanda Heche kukufukuza ukafahamika na wajinga wenzio waliokupa kazi ya ubeki tatu singida.
Chadema hakuna maslahi hapa ni ukombozi wa nchi, kama unataka malipo nenda CCM! Fedha zinazopatikana zinatumika kuendeleza mapambano dhidi ya udhalimu na ufisadi kwa Taifa!
Nadhani hili swala si kama tunavyochangia kimasiara wakuu, mtoa mada umefanya vizuri sana na ukweli ni kwamba hili swala lipo na wahusika ni hao wanaojiita mapedeshee wa mjini, kamanda IGP na wengine wanaopita humu lichukueni hili mlifanyie kazi maana litakuwa janga la taifa soon, watu watakufa...
Kweli hapa Lowasa unapoteza pesa zako, mtu huyu uliyemtuma anahoja za kutukumbusha maovu yako na pale anaposema mwalimu alikuwa na chuki binafsi na nyie na JK kwa hali hii ya swahiba wako hupati kitu hapa hata utoe chapaa!
Wewe Kishoga huna akili kabisa, unamuona Lema na Mbowe ni waalifu kwa kupigania haki na Uhuru wa Watanzania? Inamaana unakubaliana na wizi wenu na chama chako?
NEVER NEVER ON EARTH
Kamanda Mbowe ninavyomfahamu asingeweza, wala hata weza kukimbia polisi kutokana na ujasiri na uchungu alionao katika ukombozi wa nchi hii mikononi mwa Mafisadi na serikali dhaifu ya CCM.
Iv huyu muuwaji mbona mkutano wake kama vile aliufanyia msituni! Au ndo mti wake wakujinyongea? Maana chadema ikichukua nchi hana bahati muuwaji kama huyu na wenzake!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.