ndicho kilchojaa akilini mwake...unajua ana wake wangapi, kweli mikoa ya pwani haifai kutoa viongozi wa kitaifa kwa sababu ya historical background yao
wala hujaota, ila kitu kimoja umechanganya, sio daresalaam ni darful wanaonyesha cnn na aljazeera, so kama wew ni mtu wa kuogopa usipende sana kuangalia thrilling visual nite tym utakuwa unaota kila siku matokeo yake utaogopa hata kivuli chako. Mwisho: acha kupigia debe magamba
nakumbuka nlikuwa mita chache pale kirumba wakati wale wazee wanamsimika jk kuwa chief wao wa heshma jk alikwidwa miguuni naye akajitetea kwa kukaba shingoni, jamaa alichezea kichapo we acha tu, kuna tetesi kuwa keshavuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.