natafuta kazi za kwenye mashirika ya simu anayejua kama zimetoka nafasi tafadhali anijuze mwananchi mwenzenu. nina diploma ya marketing na public relation.
Na wanaume wanaong'ang'ania wanawake ambao anajua kabisa hamtaki lakin utakuta anampigia magoti nusura alie hvi hii ni akili kweli au niite wendawazimu?
Mimi ni mfuatiliaji sana wa forum hii ya mahusiano na mapenzi,urafiki katika kipande hiki nilitaka niwahabarishe wenzangu ambao mna marafiki,wapenzi au hata wachumba ambao mna ndoto za kuja kuishi nae pamoja kama mke na mme. zifuatazo ni dalili kwamba mwenzio hakupendi au moyo wake haupo nawe...
Katika hali isiyo ya kawaida kwa Wabunge walihoji bungeni kulikoni Bw,David Jairo kurudishwa kazini katika kile kilichoitwa kamati ya upelelezi wa Bunge na ile ya wizara ya nishati na madini (CIG),katika kile walichokiita alifanya uchangishaji wa fedha wizarani ili bajeti ya wizara ya nishati na...
Ulipukaji wa mabomu katika kambi ya mbagala mwaka 2009 mwezi wa tano ulileta maafa hususani kwa wakaazi wa eneo hilo na viunga vyake,nyumba za wananchi zilibomoka kwa kupigwa na mabomu,zingine zilipata nyufa kubwa ambapo ni hatari kwa maisha ya wakazi hao,lakini cha kushangaza wale ambao...
unajua ndugu yangu watu wanashindwa kutambua maeneo muhimu ya kutumia maneno haya mfano unakuta mtu kaandika chicken chips. baada ya kuandika( take away food) au unakuta mtu kaandika cafe hivi hawa watu nadhani wanatakiwa kwenda shule ili wakajifunze wasipotoshe lugha za watu.
ndugu yangu uchumba mtakatifu ni ule unaotakiwa kuheshimiana na sio kuchakachuana,ukiona anakuomba mabo ful;ai huyo ana tamaa zake sio muoaji kabisa ana llke jambo tena umkimbie kama ukoma.
hata bibilia inasema ikimbieni dhambi ya zinaa, nikinukuu kwenye kitabu cha mwanzo yusufu alimkimbia mke...
Baba mmoja amtoroka mkewe na kwenda kuishi pasipojulikana zaidi ya miaka kumi kwa kile kinachosemekana ugumu wa maisha,mkewe akadhani kuwa mumewe amekwisha kufa kwa sababu kipindi anaondoka aliwaacha wanawe wakiwa wadogo wa miaka minne, ndugu wa baba huyo wakaamua kuweka matanga na kudhani...
Mwanamke mmoja anayesemekana ni mke wa mtu,alikuwa ametokea wa Mara willaya ya Tarime alikwenda, Mkoa wa Mwanza kwa ajili ya kuomba kufanya kazi za ndani kwa mama mmojo (majina yao yamehifadiwa) inasaemekana huyO dada wa ndani walipatana na mme wake kwamba mkewe akatafute kazi za ndani ili...
nakukubali but si unajua viongozi wetu wanavyoipleka nchi katika umaskini kwa kusaini mikataba mibovu,we umesikia wapi mkataba wa miaka mia,nchi za ulaya unasaini mkataba but percenyt kubwa inakwenda serikal;ini na kunufaisha wazawalakini kwa nchi ka a Tanzania ni ndoto because viongozi wetu ni...
Hoja ya mhe. freeman mbowe kuhusu ununuzi wa mashangingi ya wabunge ni kweli huyu mtu anaonekana ana uchungu na nchi yake pia ni mzalendo na anaonyesha moyo wa kutumikia kweli wananchi ,
lakini wabunge wa ccm na baadhi ya mawaziri wameonekana kukerwa na hili jambo mpaka wakadiriki kusema kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.