Pole Exellent!
Kuna wadada wengine hawana hizo mambo ndugu yangu, hao ulokuwa nao watakuwa vicheche tu,
(aahhh hebu njoo kwangu uone kama hujaja hapa JF kusema "wadada wakipenda hupenda kweli" ohh mara "kuna dada kaning'ang'ania "
he he ehe he ) utani tu jaman kha!
Marytina mpendwa
Hakunaga kitu kinaitwa mganga ndungu yangu, wote hao ni waongo kweli kweli
wewe chunguza kwanza jaman, ukute masai wala hana mpango na huyu mdada.
Hakuna kitu kibaya kama wasiwasi, maana kila siku utakuwa unazidi kujitengenezea picha na kuumia tu
na unayaona kama ni kweli...
thanx mbuuu
nimesoma comment za watu nimejua kumbe ni kaugonjwa ka wanawake wengi
Yani zamani nilikuwa nikiambiwa mama likizo hii twende kuleeee nimefanya booking,
yaani ntataka kujua room kiasi gani etc..nikiona mapesa mengi mhhh
basi naanza kutafuta sababu ya kutokwenda, ohh tufanye hivi...
kusema ukweli mimi huwa nakosa Confidence kwenye baadhi ya mambo
na hata sijui itanitoka vipi, huwa najitahid kuishinda bado inakuwa ngumu
yaani huwa namuadmire mwanamke mwenye Confidence katika mambo>>>
hapo umenena BJ, sio kakomaa ka sanamu.....
mi napenda sana mwanaume anayejua kudekezaaaa, anajali lakini zaidi aijue shughuli sawa sawa
mengine yatafuata badae
hata bila kufanya mapenzi wala asingefika kokote mana
alikuwa anabore sana, kutwa amelala au anasoma kitabu na kusubiri Ernest wakiss na kumdanganya
aaghh kwa kweli nilifurah sana alipotolewa.
Hivi wadada wa tz wao ni mapenzi tuu
hawaoni lingine????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.