Nauza ipad 1 3G inatumia line,GB 16
HAINA CAMERA
BEI LAKI 2 TUUU
NICHEKI 0655 44 44 40
Nauza HDD 1T
BEI elfu 80 TUU
PIA IPO HP DV 2000
USED NA INA UDHAIFU KIASI NA INAFANYA KAZI
BEI LAKI 2
Kwa maelezo zaidi nicheki 0655 44 44 40
Kwa atakaehitaji nguo za kiume na kike (t shirt na suruali kwa wakubwa na wadogo) viatu (raba na boot) za wakubwa na ndogo. Anicheki kwa 0655 44 44 40 kwa whatsapp bei ni maelewano na mzigo ni wa ubora wa juu.
Bidhaa nyingine ntakutumia kwa whatsapp
Hivyo viatu ni tsh elf 30 tu kwa kila kimoja
WADAU naomba msaada hata wa ku ni assist niweze itoa hii iphone 4 kutoka recovery mode.
nimejaribu kuiweka katika DFU MODE NIMESHINDWA hata kwa kutumia redsnow,na ukiiwasha inakaa recovery mode kwa sekunde kadhaa na kujizima,
NINA IPHONE 4S NIMEITUMIA VIZURI IKIWA NA iOS 6 LAKINI BAADA YA KU UPDATE iOS7 TATIZO LA WIFI NA BLUETOOTH KUTOKUFANYA KAZI LIKATOKEA,NIMEJARIBU KU RESET NET SETTING LAKINI HAIKUSAIDIA,
NAOMBA USHAURI ZAIDI
Wadau nina shida na hii tv samsung LED smart tv UE22ES5400W Ina tabia ya kujizima na kujiwasha kila mara na kuna kipindi inaonyesha bila kujizima sasa kabla ya kwenda kwa mtaalam nilikuwa naomba ushauri wenu
Kwa wale tulio omba Beng katika taasisi ya teknolojia ya dsm(DIT),
Hawa jamaa mbona wako kimya sana na hawajatupa matokeo yetu mpaka sasa au ndio wana subiri NACTE?maswali ni mengi ila majibu hakuna sijui kama kuna mwenye mawazo na hili.
nina iphone 3g,ilikuwa na 4.1 firmware nikai upgrade to 4.2.1 na kuitumia sana tu,sasa nikataka kufuta kila kitu kwenye hii simu so nikabonyeza erace all,ikamaliza but ikagoma kuwaka ila nilipoforce nikaiweka kwenye recovery mode,sasa sijui nifanyeje niiwashe hii simu maana ishakuwa kama...
IPo mwembechai karibu na DDC MAGOMENI KONDOA Ina vyumba vitatu kodi kwa mwezi ni laki mbili na nusu na italipwa kwa miezi Sita au mwaka.ukiihitaji ni cheki kwa no.0655 44 44 40
Habari wana JF nimeletewa simu kutoka ughaibuni Sharp sidekick (T MOBILE) sasa nikiweka sim card za hapa tz inaniandikia Enter code to enable SIM card, JE hizo code ni zipi na ntazipataje?Naombeni mnisaidie kwa hili.
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.