Kwenye huu mjadala watu wanaongea kwa reference za watu wawili au watatu wanaowajua, ila kiukweli hali ni tete sana
Ukitaka ujue hali ipo vipi jaribu kuangalia nafasi zikitangazwa wanaomba watu wangapi
Reli post 2 waliomba zaidi ya 600
Tanroad post 20 waliomba zaidi ya 1300
Hawa wote...
1. Ndio zinatumia bati chache
2. Ndio waweza tumia tofali za kuchoma
3. Gharama kwa boma 15m (normal standards )
Gharama kwa bati 5m
Gharama za finishing kuanzia 20m na kuendelea kulingana na uchaguzi wako wa materials
Hivi vitu vinaumiza kichwa sana, i wish ningeona future yangu ili nifanye uchaguzi sahihi, kwa sasa nakua mzito hata kumpigia simu hadi nijilazimishe but yupo tu, its almost a year now
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.