Hata mimi camin kama kweli huyo jamaa anajiita yuko kazin ni professional kama co wale wa undugulization na kama c levo yko ni certificate ba2 ni primary na waliokazn wasemeje? Kwan hta ushoga nh kazi?
Ama kwa hakika umeme kama wimbo wa taifa sasa 2megoma kuimba...ikiwa kama chuo kikuu cha taifa na dunia kwa ujumla umeme umekatika unafkiri kuna kinachoendelea kweli hali imeendelea kujitokeza katika chuo kikuu cha dar es salaam maaruf kama udsm baada ya wanafunz kushndwa piga lecture et umeme...
Maana yangu ni kwamba hakuna usawa katika ugawaji wa mikopo kwan mpaka sasa cjajua wame2mia vigezo gan katka kufanya selection za hao walio wap tht loans
Katika hali isiyokuwa ya kawaida baadhi ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza katika vyuo tofaut nchi kukosa Mkopo ukilinganisha uwezo wa wazazi wao kuwa wa chini hali hii imewafanya baadhi ya wanafunz hao kupachikwa majina kibao kama vile NO LOANS member na kusababisha kuishi maisha magumu chuoni...
we jamaa nan alyekwmbia frmasons ni chama cha mpnga kristo? Af v2vngne km hamjui naomba achen mcjichukulie umaaruf kwny jf kwa v2 ambavyo havina maana maana unaweza fkwa na v2 ambavyo hjawaw fkwa navyo...au unataka?
Wananchi wa kata ya Kasanga mkoani Rukwa,wamepelekewa boksi 10 za kondom badala dawa walizoomba bohari kuu ya dawa{MSD}.kauli hiyo ilitolewa na mbunge wa viti maalumu CHADEMA Suzan Kiwanga alipo uliza swali la nyongeza lililoelkezwa wizara ya afya na ustawi wa jamii............KIWANGA alisema...
that ryt but i dont think so.....on how this special seats contribute to build the nation insteady of use the public fund for private gain......remove it by any means
kuna siku bwana wasanii kibao walikuwa wanafanya shoo pande za mafinga pale shimoni club!!!!kwa kawaida kabla ya kufanya show wasanii huanza kwa kujitambulisha msanii wa kwanza kujitambulisha alikua ni mr blue ye akasema" mi ni MR BLUE HAPA....watuwakafurahi saaana,sasa ikafika zamu ya msanii...
Wazungu sio kama walikuwa hawawasisifii ila walikuwa hawapi sifa hadharani angalia ile hotuba ya nyerere ya mwaka 1949 kule UNO Jk Nyerere alihotubia takriban masaa 2 non stop wenyewe walikubali na ukapewa uhuru 1961 sifa zipo bwana mdogo!!
ni kiwa kama mdau na mwanamapinduzi katika sekta ya elimu sioni sababu ya wanafunzi wa art kwa O-level kusoma biology kwani ukiangalia kwa kiasi kikubwa asilimia 75 ya wanafunzi Tanzania hawana hzo mnazoziita maabara,wala hvyo vifaa kwa ajili ya kufanyia hzo practical assume shule ni ya...
Spika wa bunge serikali ya wanafunzi chuo cha biashara Fred gibe pamoja na baadhi ya wabunge leo watamfikisha mahakamani Rais wao Gango Kidera....alisema kuwa tangu uchaguzi ufanyika mei 13 mwaka huu kumekuwa na mgogoro kati yao na rais huyo kutokakana na kumkataa Gibe
Rais huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.