WATU watano akiwemo hakimu mkazi na wanasheria wawili wa serikali wanaokabiliwa na mashitaka 11 ya utakatishaji fedha haramu, kujihusisha na rushwa na kuongoza mtandao wa kupanga uhalifu wameiomba mahakama iwafutie baadhi ya mashitaka hayo kwani upelelezi umeshindwa kukamilika kwa wakati...
Kwa kweli hata hiyo barua ya kumradhi hawakupaswa kuiandika hivi vidole mnavyonyoosha ni vya hila kwa sababu ni sehemu ngapi na shughuli ngapi za starehe zilifanyika siku hiyo?
Mngekuwa wa maana kama mngekuwa mnawanyooshea vidole hivyo mmiliki wa meli , watendaji wa serikali ambao walipaswa...
Mawaziri wa JK wagongana
Kushtakiwa mahakama ya kimataifa
na Mwandishi wetu
MAWAZIRI wawili wa serikali ya Rais Kikwete wametoa kauli za kupingana kuhusiana na sakata la sheria mpya ya wanyamapori ambayo ilipingwa vikali na wabunge wa kambi ya upinzani bungeni na wadau mbalimbali...
@ kwayu hawa madiwani walichemka mshitakiwa wa kwanza cdm mshitakiwa wa 2 freeman mbowe wala hawajamshitaki kwa wadhifa wake wamemshitaki personal na cdm hawajaainisha ni wathamini au wanachama wote
Juzi Masaburi akiwa hapa Arusha alisema kuwa MD wa Simon Group alifikisha malalamiko kwake kuwa alielekezwa kulipa through acc 400mil, na doc zipo lakini alimuuliza risiti za UDA akawa hana
dah kaaazi kwelikweli japo anauchapa lakini jioni anakinga sawa na waliokuwa wakijikakamua kuperuzi makabrasha na kuyadadavua kwa maslahi ya wadanganyika
@ kilewo hongera sana kamanda umeonyesha ukomavu na busara kutolumbana kwa masuala ambayo mwisho wa siku hayana tija kwa Taifa , Komaa kutafuta tanzania mpya mtoto akikua akute mfumo uliotulia
Unaowezesha watoto wa maskini na tajiri kufurahia rasilimali za taifa .
wabunge wetu na baraza la mawaziri mna sura za mbuzi mee , sitting allowance yenu kwa siku moja mnageuza kuwa mshahara wa mwezi kwa wananchi ambao kura zao ndiyo cv ya nyie kulipwa mamilioni ya fedha .
Kweli watanzania waanze kufuatilia usalama wa kura kabla hajaipiga aangalie
Ni yupi anampa...
Sitta sidhani kama ni msafi kama anavyojaribkujipambanua yeye kujenga ofisi ya spika kwenye jimbo lake huo pia ni ufisadi kwani ametumia vibaya fedha zetu Watanzania , yeye na lowasa wote hawatufai katika uongozi wa Taifa .Na kwa umri walionao hawapaswi kuendelea na kazi kiafya si sahihi na...
nkamia kushindwa kutetea hoja yake kabaki kusema wanaopinga sitting allowance hawatembelei majimbo yao .
My take wabunge wetu hawajui majukumu yao , kusema wanahitaji posho ili wawape nauli wapiga -kura wao linadhihirisha walichaguliwa kwa bahati mbaya
waliokaa ni madiwani wa ccm tlp na cdm , ila maamuzi hayana baraka za chama (cdm)
Ritumeelewa? Maongezi level ya taifa yalikuwa yatolewe uamuzi
July mosi sasa imeshakuwa haifai tena
hongera mbowe huo ndiyo uongozi kwa vitendo
Inasikitisha viongozi kuishi kama peponi kwa kutumia kodi zetu huku wakihubiri tz ni maskini wakati umaskini huo hauwagusi mpk wastaafu .
inasikitisha zaidi wanatumia magari kwa shughuli binafsi siku za wkend na usiku stk unaikuta salon bar club...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.