Jamaa mmoja alikuwa akibishana na mkewe chumbani, mabishano yalikuwa hivi;
baba: Mke wangu wewe ni mwoga sana.
mama: hapana, wewe mume wangu ndio mwoga kuliko mimi.
baba: wewe ndo mwoga, mbona mbishi?
mama: wewe ndo mbishi, mwoga kama nini!
Mwafaka haukupatikana, wakatoka chumbani, kufika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.