Habari za muda wakuu,
Nina Xiaomi redmi a8 imeanza kuniletea shida toka jana.
Kuna muda inakuwa ina staki kama sec 5 hivi au inakuwa nzito ku touch.
Haina shida yoyote kwenye kioo.
Naomba msaada wa aliyewahi kukutana na changamoto hii au anayefanamu namna ya kukabiliana nayo tafadhali.
Je, wajua Video ya Diamond Platnumz i miss you remix ile treni kwenye video unayoiona sio treni kweli eneo la tukio(location) hapakuwa na treni ila ni utaalam ulitumika ionekane treni kweli. Na subtitle ya video aliandika Jokate mwengelo(DC)
credit by chapo255
Pamoja na Jina la Harmonize kuwa kubwa ila inaonekana RayVanny kamzidi mkali huyo kwenye mapato. Kupitia Dizzim online jana Rayvany amefunguka vitu vingi juu ya beef la Harmonize na WCB Wasafi.
Amefunguka kwa kusema mwanzo alijua mwenye kosa ni Uongozi wa Wcb Wasafi akawa anawalaumu management...
Album mpya ya Justin Bieber 'Changes' imeshika namba moja kwenye chart za Billboard 200 na kuvunja rekodi aliyoiweka mkongwe Elvis Presley miaka 59 iliyopita
Justin Bieber ameweka rekodi ya kuwa msanii mwenye umri mdogo zaidi kuongoza chart hizo kubwa zaidi za album Marekani mara 7, Justin...
baada ya 'Scorpion' ya mwaka 2018
Wakati wa mchezo wa Toronto Raptors na Phoenix Suns jumapili ya jana Drizzy alidokeza kuwa album yake mpya haitokuwa na nyimbo nyingi kama iliyopita (scorpion) ambayo ilikuwa na mikwaju 25, Alisema kuwa anajituma kwa bidii kuimalizia album hiyo ambayo inaweza...
leo tupo na Nahreel producer na msanii kutoka kundi la Navy Kenzo karibu.
1. Nahreel anatokea familia yakishua jina lake halisi ni Emanuel Mkono na inasemekana baba yake ni Nimrod Mkono Mbunge wa CCM Jimbo la Musoma vijijini ambae pia ni mmiliki Wa kampuni kubwa ya mawakili Mkono & Co...
Mwanamke mmoja huko Nigeria amechakazwa vibaya na MTU anayedhaniwa kuwa ni Mme wake baadaya kutokea hali yenye utata dhidi ya watoto wao. Mwanaume huyo tajiri na mfanyabiashara alikuwa na mpango wa kuhamisha family yake kutoka Benin kwenda Canada ndipo ubalozi wa NCHI hiyo
Ulipohitaji Vipimo...
Hivi ushawahi kusikia any weird or scary story about a place or thing?? Please share.
Me nilisikia kuna daraja Arusha misikule huwa inakaa kule chini husababisha ajali ili ipate Damu....
Mapenzi yetu yalianza kitambo sana mpk hii Leo tulikuwa tunatimiza miaka 2
Chanzo cha kumu acha baada ya kuanza kunizungusha game. Hali hii Ali anza mwezi wa 8, nilivumilia nikijua ata badilika lakini ikawa hamna jipya.
Nikimwambia kwann hutaki sex ana nijibu mm saiz siji sikii kufanya sex...
Ni mwaka sasa tangu ichi kidonda kinipate.
Kilianza kama jipu karibu na sehemu ya aja kubwa. Baada ya siku mbili kikawa kikubwa uku ndani kikiwa na usaha. Nikaamua kwenda hospital na kuni angalia wakasema ni jipu.
Nilipewa dawa za kutuliza maumivu na za kufanya liive halaka ili nipasue. Baada...
Takwimu: Vifo vya wanaume ni vingi zaidi kuliko vya wanawake.
Takwimu: Idadi ya wanawake hai ni kubwa zaidi kuliko ya wanaume.
Assumptions: Bro unakufa upo single, unaenda kuzimu unategemea ku-mingle upya,na kule totozi ni chache.
I tell you UTAKUFA SINGLE UKUJE HUKUHUKU[emoji23][emoji1696].
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya mvua kubwa inayotarajiwa kunyesha kesho Jumamosi 5, 2019 katika mikoa mbalimbali nchini ikiwemo Dar es Salaam.
Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya mvua kubwa inayotarajiwa kunyesha kesho Jumamosi 5...
Kuna msichana tunakaa naye mtaa mmoja alisema ananipenda na kila nikienda mtaan kwao huwa ananishobokea kusema ananipenda. Nikaamua kuchukua namba yake na kumuuliza kweli unanipenda akasema ee
But kila nikimtumia text hajibu nikimtumia Vocha ili ajibu text but anakaa kimya tuu je kweli uyu...
Kwa wale wamiliki wa blog ambao wana share nje za nchi wanaotaka traffic kubwa na ambao wana share kwa group za nje ex south Africa
Kuna account za Facebook nauza zipo 600
Nauza kwa pamoja kwa sh 15000 tuu nicheki WhatsApp 0625672871
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.