Internet privacy company Proton announced Wednesday a new VPN Observatory, tracking demand for its services to detect attacks on free speech in countries like Russia and Iran before they hit the headlines.
Switzerland-based Proton said its new observatory would document spikes in sign-ups to...
Kwa zaidi ya muongo mmoja uliopita maneno "utawala" na "utawala bora" yametumika katika muktadha wa kuhamasisha maendeleo. Utawala mbaya unatajwa kuwa kisababishi cha maovu yote ndani ya jamii. Wafadhili na taasisi za fedha za kimataifa zinaegemeza misaada na mikopo yao kwa masharti kwamba...
Habari ya mtandaoni kwasasa ni watu kupita na magari, bajaji, pikipiki, bodaboda katika daraja jipya la Tanzanite.
Wapo wenye kuisifu Serikali ya Mama, Wengine wanamuenzi Magu, wengine wanalaumu kuwa kwanini lisingejengwa Jangwani n.k
Mimi binafsi nimeshangazwa na mkinzano wa jina na...
Habari WanaJF,
Wote tumeona taarifa ya Kujiuzulu kwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania naomba kujuzwa yafuatayo;
Je, Hatua gani hufuata kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya Nchi?
Je, Naibu Spika anachukua madaraka Moja kwa Moja?
Karibuni Wajuvi
======
KWA MUJIBU WA KATIBA ya...
Utumiaji wa dawa za kulevya huja na dalili mbalimbali mwenye mwili wa mtu. Lakini si mara zote mtu akionesha moja ya dalili tajwa kwenye andiko hili anatumia dawa za kulevya, bali unaweza kuzitumia kama ishara kufanya uchunguzi zaidi kujiridhisha.
10. Kubadili utaratibu wa chakula
Madawa kama...
John McAfee amekuwa akiwa amefariki katika chumba kimoja cha Gereza katika Jiji la #Barcelona, Uhispania
Umauti umemkuta saa chache baada ya Mahakama Nchini humo kuamua kumsafirisha hadi Marekani ili akashtakiwe kwa makosa ya kukwepa kodi
Taarifa za awali zinaeleza uwezekano wa John #McAfee...
Mahakama ya Haki za Kiraia ya Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) imetoa amri hiyo kwa Utawala wa Rais Muhammadu Buhari na Wasaidizi wake
Uamuzi wa Mahakama umesimamia Mkataba wa Afrika wa #HakiZaBinadamu na Mikataba mingine ya Kimataifa inayosimamia Haki za Kiraia na za...
Habari wanaJF,
Hoja hii ni mahsusi kwa watumiaji wa usafiri wa Daladala wanaotumia Mabasi ya Mbezi - Kawe na Mbezi Makumbusho pia wale wa Makumbusho - Mbezi na Kawe - Mbezi.
Angalieni huu mzunguko;
Unatoka Mbezi/Kimara unasimama Taa za Ubungo, ukivuka unasimama tena taa za TCRA kisha unakunja...
Katika Mataifa yanayofuata mfumo wa Kibunge (Bunge), Namba Tatu ndiye Kiranja Mkuu wa Serikali na kutokana na nafasi yake hiyo, yeye hubaki kuwa kiongozi mashuhuri na hata siku akiondoka kwenye wadhfa huo basi hubaki katika mioyo ya waongozwaji kwa muda mrefu.
Wasiwasi wangu ni kwamba Kiranja...
JAMAA WANA HADI STIKA ZINAZOFANANA NA ZA TRA
23MAY 2021
Nipashe Jumapili
Ashikiliwa na Polisi kuendesha kiwanda feki cha pombe
JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia mtu mmoja kwa tuhuma za kuendesha kiwanda feki cha kutengeneza pombe kali inayowekwa kwenye chupa inayofanana na ya...
Habari wanaJF,
Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi
Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana...
Mahakama ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, imemhukumu Semeni Gwewa Mswima, aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Mlowo kifungo cha miaka 200 jela au kulipa faini ya shilingi Mil. 52.
Hukumu hii ni baada ya kukutwa na makosa 60 ya uhujumu uchumi, likiwemo la wizi kwa mtumishi wa Umma.
=====...
Ni misingi, kanuni na taratibu zinazoainisha tabia na mienendo inayokubalika na isiyokubalika kwa Viongozi wa Umma na jamii nzima kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, weledi, uwajibikaji na uwazi
Hutumika kuongoza mahusiano kati ya Viongozi na Watumishi wa Umma, Bodi za Kitaaluma, Vyombo vya...
Usiku wa jana imeshuhudiwa Timu ya Manchester City kutoka Uingereza ikishinda goli 2-0 dhidi ya PSG na kutinga Fainali
Usiku wa leo majira ya saa 4:00 Timu ya Chelsea itakuwa nyumbani kuikabili Real Madrid ili kuamua timu itakayoifuata City Fainali
Ili kutinga Fainali, Chelsea inahitaji sare...
Wanamgambo wanaosadikika wa kundi la Jihad wamevamia kijiji mashariki mwa Burkinafaso na kuua wanakijiji wanaokadiriwa 30.
‘Kundi kubwa la watu wenye silaha lilivamia kijiji cha Kodyel jimbo la Komandjari jumatatu asubuhi na kufanya shambulio liligharimu maisha ya watu wanaokadiriwa kufikia 30...
Shirika la hisani la 'Save the Children’ limesema zaidi ya watoto 5000 watenganishwa na wazazi wao kutokana na mapigano yanayoendeleo jimboni Tigray. Shirika limeeleza watoto hao wako katika hatari ya kupata njaa, kunyanyasika kimwili na kingono.
Mashariki ya kibinadamu yameshindwa kufikia eneo...
Hivi sasa teknolojia imekua ndio kila kitu hakuna mahali unapitia pasipo kutumia teknolojia, hiyo inadhirisha kuwa uwezekano wa kufanya biashara mtandaoni ni mkubwa sana cha msingi ni kujua ni vitu gani vya kufanya ili kuweza kuongeza kipato chako.
Kwa kuanza basi ni vyema nikwambie kabisa kuwa...
Naomba kujenga hoja kwamba ili tuweze kujenga uhalali wa kudai demokrasia ni muhimu sisi wenyewe tuoneshe mfano wa kuwa wanademokrasia kweli. Ninatumia dhana kwamba, mara zote, utawala wa nchi ni sura halisi ya utamaduni wa wananchi wake. Kwamba viongozi/watawala wa nchi hubeba tabia/ na hulka...
Sababu ambazo Twitter wamezitoa Kwanini wameamua kuanza na Ghana na sio sehemu nyingine yoyote barani Afrika ni:-
Ghana ukomavu wa Demokrasia ikiwemo uwepo wa Uhuru wa Kujieleza, Uhuru wa Mtandaoni
Twitter wamesema kuwa wameanza kutengeneza 'team' nchini humo kabla ya kufungua Ofisi rasmi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.