We mtu wewe mbona unaudanganya umma kweupe hivi? Hapa nilipo natumia tecno H6! Nmenunua tgo shop mliman city 180, 000 za promo na nmeweka line ya voda na tgo bila kuflash! Sio siri umewakosea watanzania pakubwa sana ebu watake radhi haraka sana.
andreakalima,
Moyo ukizidi kukuuma sana nenda kawambie serikali wabatilishe uteuzi ili tuendelee kuishi kama zamani kwani sie hatukuomba tuwe jiji ila ilitokea automatically kutokana na kukidhi vigezo kama idadi ya watu ambao wako takribani Mil 2.5, Shughuli za kiuchumi hususani kilimo...
Sio wote waliobaki bungeni ni ccm damu vilevile sio wote waliotoka nje ya bunge ni ukawa wengine ni vibaraka tu wa ccm (------------) chezea siasa wewe
Nikijaribu kupunguza sauti na kuongeza logic nadiriki kusema kwamba ccm na washirika wake kamwe hawatokubaliana na takwimu za tume ya mabadiliko ya katiba inayoongozwa na Jaji msitaafu mzee Joseph Sinde Warioba. Hii ni kutokana na ukweli kwamba ccm na washirika wake bado wanaamini kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.