Mbona mtu akisifia hatusemi anatoka chama cha Zamani?
Tusomeni history,hili jambo kuwa DINI na SIASA havichangamani sijui tumerithishwa nani??!
Tunakuwa wasahaulifu kuwa hata kipindi cha kupigania Uhuru DINI na Nyumba zinazoitwa za DINI zilitumika sana na maaskofu walipinga serikali za kikoloni...
Kuna uhusiano gani wa siku hiyo na kuziniana hovyo,kulewa sana kuiba, kwenda disko,je ndio mafundisho au tunaintagrete na mila zenu za kitamadun(African tradition religious)?
Jibu liko wazi wala si la kufichana Wa baba wakisema MAMBO na Wa mama wakikwambia kwani mimi mama yako kwa sehemu kubwa wanatengeneza mazingira ya kutongozwa au kukupata kimapenzi
Hakuna jingine hapo ni mapenzi tu.
Katoa taarifa kwa umma ila yeye ana mamlaka gani ya kutoa habari? Anatakiwa afuate utaratibu.
Angekwenda kwa Rais wa chuo (DARUSO) akamwelezee na Rais angepeleka kunako husika na huko sasa ndio wangetoa taarifa kuhusu hali hiyo.
Tujaribu kufuata taratibu ili kufikia malengo husika.
Anaenyoosha si na yeye alikuwa miongoni mwa waliopindisha? Vipi samaki wa wachina,yanayosemwa kuhusu uuzaji wa nyumba za gvt.
Sina maana kuwa watangulizi hawajakosea! Hapana namaanisha kila binaadamu anamapungufu makubwa sana na yeye mwenyewe hawezi kuyaona hadi binaadamu mwinzie amwambie...
Wasichana bikra vyuo vikuu ni wengi sana.
Tulio wengi huwa tunapima kwa kigezo cha msichana kuwa mkimya au mpole,mzungumzaji au mchangiaji na kusema yule bikra na yule si bikra
Hivyo wasichana bikra wapo na hutaweza kumjua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.