Serious issues ya MaDR ilichukua mda gani kutoa tamko? Au mpaka walipo goma mara ya pili? Ahaahaa nadhani hata hawakutakiwa kujibu. Nani asiejua kuwa appeal ndio hatua inayotakiwa kuchukuliwa? Lema na Chdm wa appeal kwa wapiga kura na sio CA.
Kumpatia muda wakutosha huyo mwakilishi wa vichaa ni kukubaliana na sera yao ya MATUSI,MADHARAU KWA WATZ NA WIZI.Mbona hakuna hata alieonyesha nia ya kumkosoa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.