Nina masikitiko ya kutosha kwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania kwa namna ambavyo limeshindwa ku handle mgogoro wa Junior Seminary Morogoro kufikia hatua ya kuwarudisha nyumbani wanafunzi wote baada ya mgomo wa kutaka uongozi wa shule hiyo ubadilishwe. Madai ya wanafunzi hayakupewa...
Nina masikitiko ya kutosha kwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania kwa namna ambavyo limeshindwa ku handle mgogoro wa Junior Seminary Morogoro kufikia hatua ya kuwarudisha nyumbani wanafunzi wote baada ya mgomo wa kutaka uongozi wa shule hiyo ubadilishwe. Madai...
Wewe acha uzembe chapa kazi unataka kulipwa sana umeanza kazi jana tu? Ukuu wa idara hata wewe utaufikia kama ukitinga mzigo sawasawa. Acha longo longo longo dogo wewe.
Chifu Humphrey Mashingia ameaga dunia leo asubuhi.Kwa wale wasiomfahamu Chifu Mashingia ni miongoni mwa machifu wa kichagga waliotawazwa udogoni kuongoza eneo la Old Moshi.Ni mwanzilishi wa CHADEMA na amewahi kushika wadhifa wa Mwenyekiti wa Mkoa wa Dar Es Salaam kabla ya...
Big Lady unauzoefu na Micro Finance? Nenda pale Sinza Mapambano jengo la mwanamboka kuna EFL watakupa mara moja,Uwe na mdhani na salary slip na hizo securities zako.Ni PM kwa maelezo zaidi
Takule takule ni mtu ambaye daima ni boss!Mahali fulani duniani alijitambulisha kama PM wa Tz. Tukamsare leo mnaniambia amedondoka??Duu hafai huyo hata TAMISEMI walimtema
Ni mkanganyiko fulani wa mawazo!
Mleta mada anaonyesha mweelewa kidogo sana wa mambo ya usalama wa anga,Umri wa ndege haupimwi kwa muda iliotengenezwa tuu, bali masaa ya kuruka .
Pia mwenye chuki binafsi na Mwakyembe, Amezidi kujikanyaga hasa alipomuhusisha...
I know for certain that we never lose the people we love, even to death. They continue to participate in every act, thought and decision we make. Their love leaves an indelible imprint in our memories. We find comfort in knowing that our lives have been enriched by having shared their love...
Poole wewee poleee!!!Najiridhisha kuwa wewe siyo wife material.Kama unaniasi hata kabla ya pingu za maisha.Je ukiwa ndani ya ndoa itakuwajee.Huuuuuuuuuuufai tena nasema hufai,Itika kilichoko moyoni mwako.Mwisho wa siku utajuta kwann ulikuwa...
Ole wenu mumkabidhi kichaa rungu,Yaani mie sielewi nitahamia nchi gani duniani.EL ni mtu wa visasi kupitiliza.Anamwondoa nani atamwaacha nani.Maana hata lile kabila lake la asili amelikana mbele ya uso wa dunia.Muogopeni mtu huyu kuliko kitu chochote kilicho...
it is with great concern that i read this thread, al shabaab appears to be weakening but that could be there strength,they are giving false impression(false beacon) in the Gaidi Mtaani publication by talking about the imminent loss of kismayo to the AMISOM forces, the kenyan intelligence should...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.