tukirudi kwenye mada nadhani hii biashara inafaida sana tu,sababu tunaona kampuni kama super feo abood new force kilimajaro express adventure tahmeed nk. zinazidi kukua ina maana kusingekuwa na faida hizi kampuni zisingeendelea pia nadhani kuwa na management nzuri pia inasaidia pamoja na...
Hii biashara bhana, kuna kampuni kama dar express miaka ya nyuma hata kama gari lilikuwa lina abiria 9 gari lilikuwa linafanya safari hivyohivyo cha ajabu siku si nyingi nilikuwa natokea rombo na dar express tulivyofika njiapanda gari lilikuwa na abiria kama 21 hivi,ikabidi tufaulishiwe kwenye...
katika harakati zangu nilipita hapo tcc mwaka juzi wao wanasambaza sigara kwa agents wao waliopo sehemu mbalimbali hivyo na kuwa agent mpaka uwe na mtaji usiopungua milioni10....hapo inabidi akanunue kwa agent aliye karibu mfano kigamboni lazima kutakuwa na agent.
ni hayo mkuu
Leo nimekuta umeandika vizuri kidogo...sijui tatizo ni nini huwa akili yako unaifanya watu wakutafsiri wewe Kama Msukule wa chama Tawala.
Hutakiwi kujivua akili na kuandika pointless humu ili utafute umaarufu/cheo..Lete hoja zisizo egemea upande wowote.
#samahani Kama nimekukwaza
Maana nimeona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.