Tatizo ni kwamba Dunia imekuwa kama Kijiji, taarifa mbalimbali zinaenea kwa kasi sana, wale waliokuwa na mgonjwa baada ya kufariki ndiyo waliotakiwa kutoa taarifa kwa Baba yake labda kama kulikuwa hakuna Ndugu wakati anafariki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.