Hakika Makamu Wa Rais Mama Yetu SAMIA SULUHU ameonyesha UCHUNGU Wa Mama Kwa mtoto .Nakupongeza sana Mama Yetu Kwa roho ya HURUMA uliyotuonyesha Watanzania Kwa KUMTEMBELEA Kijana wako Mh.Tundu Lissu Mungu akubariki Mama.
Hakika nimeshangazwa sana na Katibu Wa Uenezi Wa CCM Bw.Polepole eti CCM imeshinda Kwa Sayansi wakati kila binadamu anajua kilichofanywa na CCM kuutafuta ushindi hata Kwa vurugu, utekaji kukamatwa wapinzani, uongo Wa viongozi n.k.Nani hajui kuwa baadhi ya mawakala Wa vyama vya upinzani...
Nimesikitishwa sana Kwa Mkuu Wa mkoa Wa Arusha Bw.Mrisho GAMBO bila aibu huku akijua ni Uongo akiwahutubia wananchi Wa Arusha kuwa Eti Mh.Edward Lowassa kamtuma amwombee Kwa Mh.Rais ili amwombe kurudi CCM.Mh.Edward Lowassa amekanusha vikali taarifa hiyo ya Mrisho GAMBO.Namwomba Bw.Gambo...
Wanachadema CCM kupitia Gambo wamepanga kuwadanganya wanachadema kuwa eti Kamanda Lowassa kamtuma yeye amwombee kwa Rais kurudi CCM ili wanachadema waache kuwachagua madiwani wa CHADEMA. Kuna maswali ya kujiuliza
1.Kurudi CCM mpaka umpigie magoti Rais.
2.Kurudi CCM mpaka umtume mtu akakuombee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.