Nilikua napitia video katika mtandao wa 'YouTube'
Nikaingia kwenye Channel ya 'SimuliziNaSauti'
Nilikutana na video ya kusikitisha sana, Raia wa Turkana wanakufa na njaa.
Serikali ya Kenya angalieni namna ya kuwasaidia hawa Wananchi wenu.
'Link' ya video hii hapa chini
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.