Search results

  1. Mgeni wa Jiji

    Hivi Mbunge Shabiby alifikiria kuhusu waajiriwa wanaokatwa bima ya afya?

    Wakuu mimi sina mambo mengi sana hapa najaribu kufikiria, hivi Mh. Shabiby aliwaza kweli kuwa kuna watu ambao wao wanakatwa bima moja kwa moja kwenye mishahara yao? Hawa wataondolewaje kwenye huo mfumo aliopendekeza sababu na wao ni wamiliki wa simu watakaokatwa bima mara mbili. Labda...
  2. Mgeni wa Jiji

    Nadhani serikali imeshindwa kujua itumie vipi mechi za Yanga na Simba weekend hii kujitangaza kiutalii

    Salamu Wakuu, Kama kichwa cha mada kinavyojieleza. Binafsi nadhani serikali au viongozi husika wameshindwa kabisa kujua ni namna gani mechi za week end hii za Yanga na Simba zitusaidie kiuchumi kama taifa. Nimesikia baadhi ya viongozi na wadau wa michezo wakiongelea uzalendo na kutaka watu...
  3. Mgeni wa Jiji

    Wataalamu wa afya; mtindo wa watu kuoga maji baridi ili kupooza miili, je kuna madhara kiafya?

    Salamu waungwana. Nisiwe na maneno mengi mimi nina swali hili kwa wataalamu wa afya na wizara ya afya kwa ujumla. Je, mtindo wa watu kuoga maji baridi ili kupooza joto la miili yao ni salama kwa afya? Kama sio salama kwanini wizara na wataalamu wa afya hamlizungumzii hili suala hata kutoa...
  4. Mgeni wa Jiji

    Radio Free Africa kesho msipokutana na barua ya TCRA Mungu yupo nanyi

    Hapa nimeshangazwa na ujasiri wa Dj aliye zamu leo RFA maana anapiga nyimbo za mixtape za Anti Virus live live ni matusi matusi tu. Kama hamtaamka na barua ya TCRA asubuhi Mungu yupo nanyi. Nimekumbuka ile barua ya onyo waliyopewa miaka mingi nyuma kisa kupiga nyimbo ya Kaka Suma by Nash MC...
  5. Mgeni wa Jiji

    Taarifa: Ninamtafuta Mzee Michael Elichilia Uiso. Yeyote mwenye taarifa zake naomba msaada

    Habari Wakuu, Kama mada hapo juu inavyosema. Mhusika ambaye ni Mzee MICHAEL ELICHILIA UISO nasema mzee sababu kwa makadirio kwa sasa atakuwa na miaka isiyopungua 72 HISTORIA FUPI NIIJUAYO Mzee MICHAEL ELICHILIA UISO alisoma nchini Urusi masuala ya kilimo, na baadae aliporudi nchini Tanzania...
  6. Mgeni wa Jiji

    TAHADHARI: Usikubali kufanyakazi za kisheria na mtu ambaye sio Wakili ni hatari sana

    Habari wana JF Nianze kwa ufafanuzi mfupi wenye maslahi kwa watu wengi. Kuna tofauti kubwa sana kati ya Mwanasheria na Wakili. Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, Mwanasheria ni mtu mwenye digrii ya sheria. Hivyo mtu mwenye diploma ya sheria au elimu chini ya hapo sio Mwanasheria, bali ni...
  7. Mgeni wa Jiji

    Maoni yangu kwa Tume ya Kupitia Taasisi za Haki Jinai: Mamlaka ya DPP kwenye Makosa ya Uhujumu Uchumi yapunguzwe

    Salamu wana JF, Katika kuweka mizani ya utawala na utendaji wa haki nchini sawa tumeona Rais akiunda na kuituma kazi Tume ya kupitia utendaji wa taasisi za haki jinai, hili ni jambo zuti hasa tukiangalia Tume hii imeundwa kwa wingi na watu waliofanyakazi katika mfumo wa haki jinai, ingawa wapo...
  8. Mgeni wa Jiji

    Fahamu mambo haya muhimu kisheria juu ya umiliki na uendeshaji wa kampuni binafsi Tanzania

    Habari wana JF Leo naomba nigusie maswala machache yanayohusu sheria na utendaji wa makampuni binafsi. Naamini umewahi kusikia juu ya wito wa kurasimisha biashara na makampuni. Wapo viongozi wa kiserikali na hata binafsi wamekuwa wakihamasisha wafanyabiashara kurasimisha mifumo yao ya biashara...
  9. Mgeni wa Jiji

    Kisheria hakuna ndoa kwa kuishi na mwanamke/ mwanaume kwa miezi 6

    Habari wana JF Leo naomba kuongelea au kuliwekea ufafanuzi jambo moja ambalo limekuwa likielezwa vibaya au kimakosa na watu wengi wengine wakiwa ni viongozi hadi wa kiserikali. Suala hilo ni swala la je, ni ndoa kiserikali baada ya kuishi na mwanamke au mwanaume nyumba moja kama wapenzi? Hili...
  10. Mgeni wa Jiji

    Kutokujua sheria sio utetezi popote, ukijua umevunja sheria usiseme kuwa hukujua kama ni kosa

    Habari wana JF. Huu mwaka nimedhamiria angalau kwa kila wiki niwe naweka uzi mmoja unaohusu swala la kisheria. Nimeamua hivyo baada ya kuona changamoto nyingi sana za kisheria zinazoikumba jamii yetu, sio rahisi kufikia kila mtu lakini bora kidogo kuliko kukosa kabisa, basi nitatumia zaidi JF...
  11. Mgeni wa Jiji

    Tangazo la Mkuu wa wilaya ya Kahama kuwataka vijana kuanzia miaka 14 wasio na ajira/kazi maalumu wahame wilaya hiyo siyo sawa

    Habari Wakuu. Leo nimesikia habari au niseme tangazo la Mkuu wa wilaya ya Kahama kuwataka vijana kuanzia miaka 14 wasio na ajira/kazi maalumu yakufanya wahame wilaya hiyo. Hili binafsi limenishtua sana na kujaribu kujiuliza maswali tofauti tofauti; 1. Huu umri wa miaka 14 alikosea au...
  12. Mgeni wa Jiji

    Baada ya Sensa, vishikwambi vipelekwe shule za sekondari kama jaribio la elimu mtandao

    Wakuu!, Mimi sina mambo mengi yakuongea hapa sababu hili jambo nimeliwaza tu kwa juu juu wahusika wanaweza kulifanyia kazi kwa undani zaidi. Ni kwamba binafsi naona kwamba vishikwambi 'tablets' zilizotolewa kwa ajili ya zoezi la Sensa, hili zoezi likikamilika serikali ipeleke vishkwambi.hivyo...
  13. Mgeni wa Jiji

    Binafsi nadhani Tulia Ackson asingechukua fomu ya kuwania uspika kwa sasa

    Waungwana salamu [emoji1538] Nisipoteze muda mwingi niende moja kwa moja kwenye mada. Kujiuzuru uspika kwa Mhe. Ndugai kumezidi kuonesha ni kwa namna gani kama Taifa bado hatufahamu mambo mengi ya kisiasa, kiutawala, uraia na kiutendaji. Wapo waliombeza Mhe. Ndugai wapo walioshitushwa na wapo...
  14. Mgeni wa Jiji

    Baadhi ya matangazo ya afya ya Serikali yaangaliwe maudhui kwa pande mbili

    Habari wana bodi Mimi sina mambo mengi sana ya kuongelea kwenye hii mada zaidi kichwa cha habari kizingatiwe na wahusika ambao kama sikosei ni kitengo cha Elimu ya afya kwa umma. Hapa pia niwajumuishe na wizara ya habari kwakuwa matangazo haya mengi yanarushwa na vyombo vya habari. nimekuwa...
  15. Mgeni wa Jiji

    Kauli ya Rais Samia S. Hassan kwa nyimb 'Bia Tamu' BASATA na Wizari mmejifunza nini?

    Wakuu moja kwa moja kwenye hoja. Kwa muda sasa Baraza la Samaa Tanzania limekuwa likifungia nyimbo za wasanii lakini kwa kiasi kikubwa zikiwa ni za wasanii wanaoiponda serikali au viongozi wake. Zipo nyimbo nyingi za hovyo ambazo sio tu kutofungiwa bali zinapigwa kwenye vituo vya habara redio...
  16. Mgeni wa Jiji

    Je, kujifunza imekuwa ni jambo gumu sana siku hizi?

    Habari Wakuu, Leo nimeona niandike uzi kuhusu hili swala la kujifunza. Tumekuwa tukisikia malalamiko kwa muda mrefu sasa takribani miaka 20-15 juu ya elimu yetu na wasomi tunaozalisha. Malalamiko yameongezeka zaidi miaka ya hivi karibuni kuwa huko mashuleni, vyuoni na vyuo vikuu tunazalisha...
  17. Mgeni wa Jiji

    Watoto 21 waliolawitiwa huko Iringa ni wengi na wachache pia, jamii ishtuke

    Habarini wana Jf, [emoji1538] Kuna kipindi niliwahi kusema hapa JamiiForums kuwa ushoga upo zaidi mikoani kuliko hata jijini Dar es Salaam. Wapo waliokataa wapo waliouliza na baadhi wachache walikubaliana nami. Ikumbukwe, nilieleza ni kwanini tabia hii ina wahanga wengi mikoani kuliko hata...
  18. Mgeni wa Jiji

    Je, haya ya Faru John, Fausta sasa Vicky ni mfumo mpya wa wapigaji?

    Habari wandugu [emoji1538] Nitaenda moja kwa moja kwenye maelezo yangu kidogo sababu hili ni swali wenye majibu watujuze au wachangiaji wengine wachangie zaidi. Kumekuwa na utaratibu ambao sasa umeonekana kuwa kawaida au mazoea kuwachukua wanyama pori Faru na kuwaweka sijui niite kwenye...
  19. Mgeni wa Jiji

    Kama hausherekei ''Besidei'', kwanini usherekee Krisimasi!?

    Merr Krismas. Wale tusiopenda bajeti za keki tuendelee na mishe zetu[emoji53] VIIXCCCL GrandLodge,ARUSHA
Back
Top Bottom