Habari wana jamvi, wachambuzi wa misemo na nahau njooni mtumbie huyu kijana aliesamehewa ana maana gani, ninachoamini vita hii inaendelea, Nape sio wa vile hata siku moja.
Hongereni sana kama hili mmelifanya kwa haki, tunaomba msimamie haki za makandarasi wazawa waliobakia ili waendelee kuimarika zaidi, tunaomba muingilie kati swala serikali kutekeleza miradi ya maendeleo kwa watalaamu wa ndani hili ndilo linachangia kuua makampuni mengi maana makandarasi wanakosa...
Baada ya kusoma tamko hili la Waziri wa Maji nimejiuliza maswali yafuatayo.
1. Ni nani anaeandaa au kukadiria gharama za ujenzi kabla ya mradi kutangazwa! ni mkandarasi au watalaamu wa Mamlaka au Idara za Maji?
2. Ni nani anaemchangua huyo mkandarasi mwenye gharama kubwa za kuitia hasara...
Habar za majukumu wakuu, niende moja moja kwenye maada. Naomba mnishauri ni kipi sahihi cha kufanya napokuwa najenga miundombinu ya maji.
Ujenzi wa mtandao wa kusambaza maji unahusisha utandazaji wa mabomba, ujenzi wa chemba na vitu vingine sana.
Swali langu kubwa ningetaka kushauriwa...
Walah, Mondi jifunze kwa huyu jamaa, ukweli mchungu yeye ndo kakubeba huu wimbo. Toka umeanza kuimba huu ndio wimbo wa pili kuupenda, kuudawnload na kuusikiliza, wa kwanza ulikuwaga "NITAREJEA"
Habari za jioni, wanaJF naomba tuwekane sawa. Hizi nywele bandia za wanawake na zenyewe haziozi hata kama ukizifukia kwa miaka 100 ukifukua utazikuta vile vile. Je? Serikali imejipanga vipi kuhakikisha na zenyewe zinatokomezwa? Je kondom sio mfuko wa plastik? Serikali ikipiga marufuku wigi na...
Habari za asubuhi wakuu. Binafsi nmechoma na dstv, nahitaji niongezee king'amuzi cha star times. Naomba mwenye king'amuzi cha startimes complete na dish/antena yake aje inbox au anipigie kwa 0766648847 tumalize biashara. Nipo Mwanza.
Jamani mimi sina mengi zaidi ya kukipongeza kiwanda kinachotengeneza kilevya aina K-Vant.
Niwe muwazi kinywaji hiki kinafaa sana kulingana na maoni na mawazo ya watumiaji tumekipenda sana ila tunapendekeza yafuatayo:-.
1. Kama kuna madhara ya kibinadamu/kiafya tafuteni namna ya kuyaondoa sio...
Husika na mada tajwa hapo juu.
Ninataka kufungua stationery nomba kama kuna mwanajukwa yeyote anaeuza vifaa vifuatavyo tuwasiliane
1. Photocopier Machine Mpya sio used
2. Printer epson inayotumia ink ya nje
3. Lamination and Bidding machine
Na vifaa vingine vigogo vyote vinavyohitajika...
Habari za asubuh wanaJF, baada ya kuwa na subira na hekima leo nmeamua kulileta jambo hili kwenu labda naweza pata msaada.
Mwaka jana mwezi wa 11 kuna wasanii wa bongo movie (comedian) walitia kambi mtaani kwetu kwa lengo kuanda kazi yao. Walifika wakaweka kambi, vile vile mtaa wetu wameutumia...
Habari za asubuhi wanaJF, kuna tatizo nimeliona siku nyingi sana ila leo naomba kuliweka wazi labda mimi ndie sina uelewa. Kwa wakazi wa Jiji la Mwanza tunajua kuwa miundombinu yetu ya barabara sio rafiki ukizingatia mji unakua, population inazidi kuongezeka pia watu wanaendelea kuwekeza maeneo...
Mimi nimekuwa katika uhusiano wa kimapenzi na dada yangu binamu tangu mwezi wa nne mwaka huu. Huyo dada yangu binamu ni binti wa mjomba wangu.
Sasa, kwa kuwa uhusiano wetu wa kimapenzi ni wa muda mrefu kidogo (kutoka mwezi wa 4 hadi mwezi huu wa 12 ni sawa na miezi 8 katika uhusiano huo) jana...
Habari za asubuhi wakuu, kisa hiki ni cha kweli na kimenitokea mimi mwenyewe.
Nimekuwa na tatizo la kupata maumivu ya kawaida na ya kipindi kifupi, maumivu haya huwa nayasikia kwenye korodani zangu, tatizo hili lilianza miaka mitatu iliyopita. Tatizo lilipoanza nilihisi ni mshipa wa ngiri...
Niende moja kwa moja kwenye maada.
Mwenzenu nimekubwa na tatizo moja kubwa sana, hali hii inaathiri mpaka utendaji wangu wa kazi. Nina tatizo moja kubwa sana kila siku ikifika mida ya kumi jioni huwa naanza kukiwaza chakula cha nyumbani kwangu, huwa natamani kuondoka ofisini muda huo ilimradi...
Raha sana, Mwanza tumebahatika kuwa na jengo zuri la kibiashara.
Zamani ulikuwa ukitoka mkoani ukifika jiji la samaki lazima ukapige picha pale kwenye samaki, kwa sasa tuna jengo jipya la kibiashara la Rock City Mall ukifika mwanza karibu sana ndani ya jengo letu pendwa. Jamani ndani ya jengo...
Habari za wanajamvi, Msaada huu kwa wale waliosoma Engineering (Civil), wakuu naomba kama kuna atakuwa na soft/hard copy ya kitabu tajwa hapo juu anisaidi hata kama ni kwa malipo, please nisaidien. Nakihitaji sana, kiko summarized sana, kina almost vitu vyote kuhusu road and building works
Wakuu niende moja kwa moja kwenye maada. Baada ya kupata ushauri hapa JF kuhusu yule kijana aliekuwa akimgegeda wife niliamua kufanya yafuatayo.
1. Nilipunguza mapenzi kwa 80% kwa wife niliamua kubadilika sana, muda niliokuwa nimetenga angalau siku 1 kwa wiki kukaa na familia na kufurahi...
Habari za jumatatu wana jamvi.
Naomba kuleta mrejesho kwa kile nilichowaahidi mwishoni mwa wiki iliyopita. Zoezi limefanikiwa kwa 100%. Kazi ilianza hivi, jumamosi jioni dogo alipata mwaliko wa kwenda kula bata, mwaliko huo aliupata kutoka kwa rafiki yake wa karibu sana ambae nae alihusika...
Nimejaribu kuwa muungwana kwa kipindi fuluni lakini naona haisaidii, imefikia muda nataka kufanya jambo.
Kuna kijana ananisumbua sana zaidi ya mwaka sasa, kijana huyu nimepanga nae nyumba moja hapa Mwanza. Mara nyingi mimi huwa sikai nyumbani kutokana na kibarua changu kilivyo, ninapokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.