MBUNGE UMMY MWALIMU ACHANGIA SHILINGI MILIONI SITA NA LAKI TATU (6,300,000/-) KUWEZESHA WAJASILIAMALI NA VIJANA NGAMIANI KATI.
Mbunge wa Tanga Mjini, Mhe Ummy Mwalimu leo tarehe 16/07/2023 ametembelea Kata ya Ngamiani Kati ambapo pia amechangia kiasi cha shilingi milioni sita (6,000,000/-) kwa...
David Kafulila ameteuliwa Kuwa Kamishna Idara ya Ubia kati ya sekta ya Umma na sekta Binafsi ambayo ni miongoni mwa Idara za Wizara ya Fedha na Mipango.
Majukumu ya Idara ya PPP:
1. Kusimamia, kuchambua na kuzishauri Mamlaka za Serikali katika uanzishwaji, uchambuzi na utekelezaji wa miradi ya...
Huu ni Utafiti uliofanyika hivi Karibuni na kubaini Afrika Mashariki kwa sasa ni Tanzania ndo inaongoza kwa huduma bora za Internet na zenye gharama Nafuu. Pongezi kwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, Pongezi kwa Wizara ya Mawasiliano chini ya Waziri Nape Nnauye na...
Mbunge Aeshi awaonya mawaziri, ‘alilia’ meli Ziwa Tanganyika
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
MBUNGE wa Sumbawanga Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Aeshi Hilaly amewaomba mawaziri kutokutumia kinga ya Rais kukweka kuelezwa udhaifu wao.
Pia, ameitaka Serikali kuwatizama wananchi wa mikoa ya...
BAJETI YA KILIMO YAMKUNA MBUNGE DITOPILE, AMPONGEZA RAIS SAMIA
MBUNGE wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nchini Tanzania, Mariam Ditopile ameimpongeza Serikali inayoongozwa na Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan kwa kutenga bajeti ya kilimo inayokwenda kufanya mapinduzi kwenye sekta...
MBUNGE wa Viti Maalum Wanawake Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amejumuika pamoja na viongozi wa Dini, Serikali, Chama Cha Mapinduzi na Wananchi mbalimbali katika Dua maalum aliyoiandaa ya kuliombea Taifa letu na Rais Samia Suluhu Hassan sambamba na kushiriki nao futari ya pamoja aliyoiandaa yeye...
Matukio katika picha.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Alhaj Abdulrahman Kinana, amejumuika na wananchi mbali mbali, viongozi, mabalozi, viongozi wa dini na wazee wa mkoa wa Tanga katika futari ya pamoja (leo) Jumapili 24 April 2022, iliyofanyika wilaya ya Korogwe.
Makamu Mwenyekiti...
President Samia’s trip to Europe Timely and Strategic
By Seleman Yusuph Kitenge
The Momentum from 76th UNGA Speech
Since her reigning to the country’s highest office in March 2021, President Samia Suluhu Hassan who is Tanzania’s first female president since independence has not only proven...
MHE UMMY MWALIMU AKAGUA UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI ILIYOPO SARUJI, KATA YA MAWENI
Awapongeza Mkuu wa Wilaya na Viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga kwa kazi nzuri
Viongozi waomba iwe Shule ya Wasichana na iitwe Ummy Mwalimu Secondary School.
Mbunge wa Tanga Mjini na Waziri wa Nchi...
Fedha za Mpango wa Ustawi na Mapambano dhidi ya UVIKO-19
Anaandika Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu
Ofisi ya Rais TAMISEMI tuliidhinishiwa jumla ya TZS bilioni 512.1. Kati ya hizi:-
TZS bilioni 240 - kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 12,000 ya shule za sekondari
TZS bilioni 60 - ujenzi wa...
MBUNGE DITOPILE ASALI IBADA YA KRISMASI KIGOMA, WAUMINI WAMPONGEZA RAIS SAMIA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma Mhe. Mariam Ditopile Ameungana na Mamia ya Waumini wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika Mjini Kasulu Mkoani Kigoma kusali Misa Takatifu ya Krismasi ambayo ni...
MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Dodoma, Mariam Ditopile amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo ameendelea kuipa kipaumbele Mkoa wa Dodoma katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo ikiwemo Sekta ya Maji, Elimu na Miundombinu huku akiwaomba wananchi wa Kata ya Handali kumchagua Mgombea...
UZINDUZI WA KAMPENI JIMBO LA NGORONGORO
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi NEC, Idara ya Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka Leo Ijumaa 26 Novemba 2021, amezindua rasmi kampeni za Uchaguzi mdogo katika Jimbo la Ngorongoro, Kumnadi na kumuombea kura mgombea Ubunge...
"Jimbo la Bukene Kwenye Barabara tumepokea Zaidi ya Bilioni Moja na Milioni 500 ni ongezeko kubwa la Fedha halijawahi kutokea imeonyesha kabisa Rais huyu wa sasa Samia Suluhu Hassan ana dhamira ya dhati ya Kuboresha miundombinu yetu". Mbunge wa Jimbo la Bukene Seleman Zedi.
"Rais Samia...
"Tunamshukuru Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan mwenyekiti wetu wa Chama chetu, nimekuwa Mbunge miaka 11 ila amefanya mambo sijawahi kuona, tumepokea fedha nyingi Halmashauri hii haijawahi kutokea kwa kweli anaupiga Mwingi"
"Miradi ya Kimaendeleo Jimboni hapa ametuletea fedha nyingi kutatua kero...
Waziri Ummy: Tegemeeni makubwa ujenzi wa barabara za vijijini.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Ummy Mwalimu amesema dhamira ya dhati ya Serikali ya awamu ya sita ni kuhakikisha inajenga miundombinu ya barabara maeneo ya vijijini kwa kuongeza bajeti ya...
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Shaka Hamdu Shaka ametembelea Mradi wa Matengenezo ya sehemu Korofi katika Barabara ya Katoro-Kyamulaile-Kashaba(Kilometa 5)na Izimbya- Katokoro(Kilometa 3.8) unaosimamiwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA)...
HOJA HII DHIDI YA SHAKA NI UPUUZI
Na Bollen Ngetti
RAIS SSH katika kukwamua uchumi uliodorora kufuatia janga la Covid-19 na matumizi ya hovyo ya Fedha za umma ametafuta na kupata 1.3 Trilioni kutoka IMF.
Fedha ambayo ameelekeza kutumika hapa hapa nchini kwenye miradi ya maendeleo na hivyo...
WAZIRI UMMY ATOA MAELEKEZO KWA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA KUSIMAMIA MIRADI YA FEDHA ZILIZOTOLEWA NA IMF
WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Ummy Mwalimu,amewataka wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kusimamia kikamilivu miradi mbalimbali kwa fedha...
Ni zile zilizo katika mkakati wa maendeleo ambao utekelezaji utawanufaisha wananchi
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeonya yeyote atakayejaribu kufuja au kuzitumia vibaya yakiwemo matumizi binafsa sh. 1.3 zilizotokwna na mkopo wa masharti nafuu, itakula nae sahani moja.
Imesema fedha hizo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.