Habari wakuu.
Kwanza nikiri wazi kwamba mimi ni mpenzi mkubwa sana wa magari ya zamani.
Yaani nikiyaona barabarani huwa napagwa hasa likiwa bado kwenye hali nzuri kimuonekano na kwa imani yangu nahisi huwa yako imara sana.
Nimeunga unga na sasa nahitaji nichkue gari aina ya Toyota model za...
Habari zenu wote...
Niende direct kwenye mada kuna mtu namfahamu amepat shida ya figo, imepelelekea mpaka kua anasafishwa kila wiki hospitali.
Kinachonifanya niulize humu ni sababu aliyonipa ya kupata tatizo lake kuwa ni baada ya presha kupanda.
Je ni kuna ukweli hapo?
Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.