wakuu nataka msaada mwenzenu nimeachwa mdomo wazi baada ya kumuona mke wa jilani yangu kajifungua mtoto akiwa na meno mawili mdomoni. hii hutokana na nini na inaweza kuwa na athari gani msaada plz
jibu unalo mwenyewe nauamuzi niwako. kwanini nasema hivyo mapenzi ni siri ya watu wawili sidhani kama mtu baki anweza kuingilia maana mapenzi naweza kufananisha na kidonda ambacho huacha kovu mwilini ambalo halisahauliki maishani kila la heri
wakuu nisaidieni my wife anamaziwa machache hivyo chari hashibi ipasavyo je afanye nini ili maziwa yaongezeke mtoto ndo kwanza anamwezi na wk tatu na maziwa ya kopo siyataki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.