Search results

  1. S

    CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

    yule bwanamdogo hatafuti namba bali makocha ndo wanakazi ya kutafuta wapi acheze
  2. S

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    jamani jana okwi alicheza?
  3. S

    Kapombe mwanamichezo bora kwa lipi?!!!

    dogo anaweza maana majukumu anayokabidhiwa hata huyo kaseja hayawezi
  4. S

    Maximo Kocha Mpya Yanga

    hapa hatupo kuangalia lank tunachota nivikombe katika kumbukumbu zangu huyu max ndie tulie mzomea. nahivi mnavyo jua kurusha ngumi yetu macho
  5. S

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    dakika ya ngapi wakuu na ninani anaongoza
  6. S

    Simba Sports Club (Wekundu wa Msimbazi) | Special thread

    walioko uwanjani mtujuze game la simba
  7. S

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    wachezaji wa yanga wampiga lefa
  8. S

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    boko aipatia azam gori la kwanza
  9. S

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    azam wanyimwa penati
  10. S

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    tayari timu zinasha
  11. S

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    na bado mwisho wasiku tutawaona muko nafasi ya tatu huyo ndo spesho one
  12. S

    Zanzibar ni nchi au ni serikali ndani ya Jamhuri?

    wakuu nisaidieni kumetokea ubishi mkubwa kunamtu anadai zanzibar ni nchi ni ugonvi mkubwa mpaka jamaa kaweka fedha
  13. S

    mtoto kuzariwa na meno humanisha nini?

    wakuu nataka msaada mwenzenu nimeachwa mdomo wazi baada ya kumuona mke wa jilani yangu kajifungua mtoto akiwa na meno mawili mdomoni. hii hutokana na nini na inaweza kuwa na athari gani msaada plz
  14. S

    Je, niolewe naye? Baba yake alizaa na Mama yangu

    jibu unalo mwenyewe nauamuzi niwako. kwanini nasema hivyo mapenzi ni siri ya watu wawili sidhani kama mtu baki anweza kuingilia maana mapenzi naweza kufananisha na kidonda ambacho huacha kovu mwilini ambalo halisahauliki maishani kila la heri
  15. S

    upungufu maziwa kwa mama anyenyonyesha

    hako kauvivu ndo hasa tunagombana kila siku. nimekupata mtu wangu
  16. S

    upungufu maziwa kwa mama anyenyonyesha

    wakuu nisaidieni my wife anamaziwa machache hivyo chari hashibi ipasavyo je afanye nini ili maziwa yaongezeke mtoto ndo kwanza anamwezi na wk tatu na maziwa ya kopo siyataki.
  17. S

    Chakula hukinai haraka

    poa mkuu nitafanya
  18. S

    Chakula hukinai haraka

    du mkuu hii itakuwa hatari kama mwanamme ataweza kuchua vipimo vya ujauzito
Back
Top Bottom