Ni kwamba uvutaji sigara ni hatari kwa afya ya mvutaji na watu walio karibu na mvutaji pindi anapovuta sigara.Na najua ni kosa mtu kuvuta sigara katika mkusanyiko wa watu wasiovuta na wanaovuta.Cha kushangaza ni kwamba wavuta hawajaandaliwa miundombinu ya sehemu za kuvutia(smoking zone).
Swali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.