Habarini Wakuu,
Natumaini ni wazima wa afya nimekuja mbele yenu naomba msaada tafadhal nina safari ya kwenda Dodoma toka Songea kesho kufanya clearance ya mambo ya chuo nilimaliza Miaka kadhaa iliopita ila sikumaliza kukamilisha mambo yote.
Hivyo basi naomba kama Kuna mtu anaweza nikodishia...
Habarin za muda huu wakuu, I hope mko poa back to the topic naomben mnisaidie mweny uelewa kuhus kuacces acc yngu ya insta ,tatz ni kwamb nilibadili password bt pale ilipofka kweny kuverify acc ambapo unatumiwa code kwa phone number ndo shid ilipoanzia coz ile namb siitumii ten ni muda mref sas...
Habarn wakuu, kwa yeyote anaeifahamu or alienao huu wimbo plz naomba unitumie, Ni nyimbo flan hv i think niya South Africa ina mahadhi fln hv ya kwaito alaf ni ya ktambo kdg kama around 90s , wanaimba "Selebona, Selebona,Selebona... " Nawaomben wakuu kama mtu anayo plz anitumie, coz nmeitafut SN...
Habarini wakuu kwa yeyote anaesoma pale au anaekifahamu vizuri plz nisaidie hata contact nikuchek I need to know about some stuffs kama Hostel zake na vinginevyo plz wakuu nisaidieni mdogo wenu[emoji120][emoji120][emoji120]
Ni nyimbo flani hv I think ni ya south Africa wanaimba (Selebona,Selebona,Selebona) plz wakuu kwa anaejua walioimba huu wimbo Msaada Tafadhal hii nymbo ni ya kitambo kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.