Search results

  1. A

    Dark days 17/03/20...

    Dah!
  2. A

    Dark days 17/03/20...

    Nifungulieni code ya BT wajameni
  3. A

    Je, waandishi wa Biblia hawakuona aibu kufanya ‘Plagiarism’ ya wazi wazi kwenye ‘Vibao vya Sumeria’ na kufanya editing bila aibu kabisa?

    Is Carbon 14 accurate? At least to the uninitiated, carbon dating is generally assumed to be a sure-fire way to predict the age of any organism that once lived on our planet. Without understanding the mechanics of it, we put our blind faith in the words of scientists, who assure us that carbon...
  4. A

    Hawa wabunge wasahau kurudi bungeni 2025

    Keko luhanga kulikovunjika shoka mpini ukabaki
  5. A

    Tangu Dkt. Mwigulu aingie madarakani haya yametokea

    sisi hiyo cdm wala hatuifagilii kihiivyoo. tunajua ni njia tu ya mtu kujipatia kipato chake kikatiba kama aliyekuwa anaimba mapambio wakati wa simba wa kule. tunachotaka tusifungwa na kulazimishwa tumuimbie fulani mapambio wakati tuna utashi wetu bila kuvunja sheria. kuhusu kuchukua dola...
  6. A

    Dark days 17/03/20...

    Aw
  7. A

    INAUZWA Excavator Caterpillar 320cl inauzwa

    Hapo kiongozi hebu tueleze vizuri ili tusihisi visivyokuwepo. Inaonekana Kuna aina mbili tofauti za huo mtambo. Tuambie ni ipi inayouzwa, chain excavator au wheeled excavator?
  8. A

    Legacy hailindwi, legacy haitetewi, madaraja sio Legacy "Asanteni Sana Zimbabwe"

    Freeman Aikaeli Mbowe Yuko mahali fulani hapa Tanzania huko duniani. Anaweza kupumua, anaweza kutembea, anaweza kula na hasa kunywa. Lakini cha msingi zaidi ni kuwa Freeman Aikaeli Mbowe anaweza kutabasamu in free air.
  9. A

    Fundi Wa Kutengeneza Samani Zote Za Nyumbani

    kazi nzuri sana. ungeweka bei elekezi ili wateja waje ghafla
  10. A

    Tahadhari kwa wazazi wa watoto wa Panya Road, nina bastola

    Anazungumza na wazazi wa panya rodi kama wamo humu
  11. A

    Kauli huumba! Je, ni kweli Magufuli ni dikiteta? Kama ni kweli, ni kosa la nani kati yake na aliyetoa kauli hii?

    Ila pasko I'm not judging but you're very superstitious, hapo bado hujaja na mambo ya karma
  12. A

    Badala ya kushitakiwa MIGA, Tanzania yavuna billioni 692 za makinikia

    Cha maana kuliko vyote ni kuwa Sasa hakuna hofu ya kupotea tena hata kama tunapigwa vipi
  13. A

    Sawa huenda Hayati Magufuli alikuwa fisadi, Je hizo pesa zilitoka wapi?

    Muda wa kujibizana wewe umekwisha. Ngoja sisi tuendelee kufaidi amani ya nchi wewe mtetee tu shujaa wako. Nalog off
  14. A

    Sawa huenda Hayati Magufuli alikuwa fisadi, Je hizo pesa zilitoka wapi?

    Kiongozi Sasa usiniangushe. Mimi nakuona kama mtu mtulivu lakini nimegundua hauko makini. Hapa umefikia conclusion prematurely na kuyadhani ni majungu. Nilichokwambia ni kuwa VYOTE vitawekwa hadharani. Ingekuwa rahisi kwako kugundua kuwa hivi ulivyovisikia ni sehemu tu ya ufisadi husika labda...
  15. A

    Sawa huenda Hayati Magufuli alikuwa fisadi, Je hizo pesa zilitoka wapi?

    Vyote vya shujaa mwishowe vitawekwa hadharani ni swala la muda tu
  16. A

    CAG: Ndege yenye miaka 47 ilikarabatiwa kwa 278.42m ikatumika masaa 18

    Mahaba yanakuathiri sana. Yaani matengenezo yakosti 70% ya kununua ndege kama hiyo halafu unaona kawaida
  17. A

    Sawa huenda Hayati Magufuli alikuwa fisadi, Je hizo pesa zilitoka wapi?

    Jibu liko hapa chini kutoka andiko: Alikuwa anakopa sana mikopo isiyo rafiki kwa nchi ili Alikuwa anakopa heavily. Na baada ya kunyimwa bilateral loans akakopa at commercial rates. Yawezekana Ufisadi unatokea mara mbili. Kwa kuwa mikopo ilikuwa Siri yake angeweza kukopa mfano USD 20 kwa...
Back
Top Bottom