Search results

  1. M

    I miss being in relationship

    umeshajirekebisha lkn baada ya yaliyokufanya uwe single?
  2. M

    Lawrence Mafuru amekera sana leo kuchanganya lugha wakati akihutubia

    kiswanglish kinakera sana..kama cha January Makamba
  3. M

    Huu ni uwendawazimu parcee

    Ujenzi unaendelea mbele..cha ajabu nini? Use alternative road.
  4. M

    Thierry Henry astaafu soka rasmi

    All the best TITI...one of the best strikers ever to be witnessed by my generation..most gifted footballer to ever play for arsenal.
  5. M

    Mdada unayeitaji mchumba, usiache kutizama hapa

    acha uzembe wa kutafuta mke kama unatafuta mfanyakazi..udomo zege utakuua..nenda katongoze.
  6. M

    Huyu ndio mpenzi nilie nae

    Dah ila na wewe mvumilivu kweli..kwa hali hiyo hebu tuambie umeshachepuka mara ngapi? maana lazima unahitaji mengi na hutimiziwi.
  7. M

    Sakata la IPTL na ESCROW: Kafulila aanza kuumbuka, sasa kusambaza umeme MW 2000 Kenya

    Mwisho wa siku tutajua nani mtu nani tumbili..
  8. M

    Kipanya naye kwa uchokozi

    Hiyo katuni ni kaa la moto kooni kwa mafisadi sugu.
  9. M

    Kuna Moshi mkubwa kwenye eneo BOT [Bank of Tanzania]

    duh nchi hii ina majanga balaa
  10. M

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Magwiji wa soka wa muda wote..moja kati ya timu chache ambazo haziwadissapoint mashabiki wake..yani mashabiki wa Real Madrid hawajuti kuichagua hii timu..sio kama kina sisi wa.....................................
  11. M

    Moja ya Sababu ya Kenya kuwa Juu ya Tanzania

    Bora Yesu arudi tuanze upya..
  12. M

    Ejaculation Problems: Too Fast, Too Slow or Not at All? [Kuwahi au kuchelewa kumwaga]

    kuna kitu kinaitwa kegel exercise for men..google upate majibu
  13. M

    Machangudoa wa Kitanzania wanaongoza soko la la Ukahaba China

    duh..au ndo wanajenga maghorofa huku bongo?
  14. M

    Mwenzenu nusu nitembee na kaka yangu

    Ni PM nikupe namba yangu... Achana na cousin mambo yako huku..
  15. M

    Kuna aliyewahi kuingiza gari kutoka Japan?

    Ndugu Ukaoni kama calculator imekushinda ni wewe.. Ile ni moja kati ya vitu rahisi sana. Kama hujui kutumia Microsoft exel utaishia kutoa macho tu.
  16. M

    Msaada wa Tyre nzuri

    Tairi imara ni za Japan na Europe but expensive.. za China ndo nyingi sokoni na ni cheap.
  17. M

    Utata kwenye kodi za magari

    Kwa kawaida kuna account mbalimbali za commissioner ili kufacilitate ulipaji. Sio kila mtu anaweza kuaccess account flan. Cha msingi Ni malipo yote huwa yanakuwa reflected kwenye system..zamani ilikua watches na sasa kuna system mpya inaitwa tancis.kwa hiyo hujaibiwa.
  18. M

    brand new samsung electronics kwa bei nzuri

    CD palyer ya BluRay bei gani?
Back
Top Bottom