Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba kujua ubora na ubaya wa magari ya aina ya Spacio,na pia natakiwa kuzingatia vitu gani vya msingi?
Asanteni kwa ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah hivi waanzilishi wa huu mradi hawakufikiria kuwa na mbadala wa usafiri kwa ruti husika endapo itatokea hitilafu au usumbufu wa aina yoyote kwenye usafiri huu?
Naomba ushauri nifanye nini? Nimekosea kutuma fedha kutoka benki yangu kwenda kwenye mtandao wa Vodacom.
Nilipojaribu kuwapigia huduma kwa wateja wakanieleza kwamba mwenye mtandao wake ameshaitoa na kwamba ni vigumu sana kupata msaada laiti kama angekuwa hajaitoa walau wangeweza kublock na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.