1. NENDENI KASKAZINI, KUSINI, MAGHARIBI ATA MASHARIKI, BADO NCHI YETU TANZANIA NI BORA KULIKO SEHEMU YOYOTE IWAYO DUNIANI.
2. FANYENI USHABEKI, LAKINI MKUMBUKE HII NI NCHI YETU SOTE.
3. TAMAA YA WACHACHE WENYE UCHU WA MADARAKA, HAITAWAFIKISHA POPOTE.
4. MUNGU MBARIKI RAIS WETU MPENDWA SANA...
Hizi lugha siyo zetu, bora ungeandika Kiswahili chetu. Kichwa cha habari kipo tofauti na unachokisema kwenye bandiko lako. CCM must go for year 2020, inamaanisha CCM must stand/contest/contend in the year 2020 which is obvious...
Tanzania siyo nchi ya kwanza kudaiwa duniani na siyo mara ya kwanza kudaiwa sisi kama taifa.
Jiulize: Mbona hayo yote yametokea baada ya kuzuia makinikia yetu? Kama Taifa huru lazima tulinde mali zetu kwa nguvu zote. Hata wangekamata majengo tunayomiliki ya balozi zetu kwao wao (....), bado...
Bombardier...Bombardier....is it really the issue for discussion? Yes, tunadaiwa na kama Taifa tutalipa. Hivi watanzania tunaona fahari gani kunanga taifa letu na kushabekia kukamatwa kwa ndege yetu? Tunafaidi nini? Pengine hao wanaoshabekia wanadhani ni hoja ya kupandia.....Tafuteni hoja...
Huo ni mtazamo wako Mhe.
Lakini, inyeshe mvua, liwake jua....Taifa litasonga mbele tu kwa maana walionyuma ya Rais Magufuli ni wengi kuliko walionyuma ya baadhi ya wenye chuki binafsi. Huyu ndiye tuliemsubiria kwa muda mwingi watanzania. President Magufuli ni imara na jasiri. Ana udhubuti wa...
Ukweli kuhusu Umakini na Uzalendo wa Rais Magufuli:
Rais JPM anapigana vita ya dhati dhidi ya rushwa na walarushwa (zero tolerance to corruption). Kazi buti na tunakuombea sana Mhe. Rais;
Amefanya reforms za dhati ndani ya chama chake cha CCM bila kuangalia sura. Kuna watu ndani ya CCM...
Shida siyo maoni aliotoa Askofu Bagonza juu ya wanafunzi wanaopata mimba. Akitumia lugha ya picha, amemuonea na kumshambulia Mhe. Rais bila sababu na hii siyo mara ya kwanza. Binafsi ninamfahamu, Askofu Benson Bagonza ana mtazamo hasi kwa Mhe. Rais wetu. This should STOP, period!
Askofu Benson Bagonza anafahamika vizuri hata kabla hajawa Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe. Akitumia matoleo na sadaka za wakristu tena masikini aliunga mkono na kusaidia wagombea wote wa upinzani katika jimbo la Karagwe na Kyerwa mwaka 2000, 2005, 2010 na 2015. Mtandao wake wote unafahamika...
Watanzania tuna Rais wa UKWELI. Ni full MZALENDO. Tuungane tumuunge mkono kwa kuchapa kazi kwa bidii na maarifa huku tukitanguliza uzalendo wa taifa letu mbele. Mungu ibariki Tanzania, Mungu Mbariki Rais wetu Mpendwa.
Come this time 2020, all simple cartoons like you shall have been reduced to almost none. Under the strong Presidency of His Excellency The State President, The Right Hon. Dr. JPM, Tanzania is changing to the better. Whether you like or not. I am afraid, people of your type and who have...
1. I strongly beg to differ with you. If it's Halima Mdee I happen to know very well, ninaomba UNISAMEHE. Tanzania ili tuendelee zaidi kwa vigezo vyovyote vile haihitaji watu aina ya Mhe. Halima Mdee, period.
2. Juu ya Ph.D za Watanzania ambazo wewe unadhani hazina manufaa. Ninakushauri endapo...
Sisi watanzania tunaompenda Rais wetu na tunaoipenda nchi yetu hakika itafikia mahala tulazimike kuungana na Rais wetu kukabiliana na wewe Mzee Sumaye na team yako yote. Haiwezekani kila wakati mnawazia kumkwamisha Rais wetu na dhamira yake njema kwa nchi yetu. Mhe. Sumaye umekuwa Waziri Mkuu...
TISS wanafanya kazi yao vizuri kuliko hata mnavyodhani. Tatizo tulilokuwa nalo ni dhamira ya Kiongozi Mkuu wa Nchi. Tumuunge mkono Rais wetu na tuwe wamoja sisi kama Watanzania, Tanzania mpya inakuja!
Kama ni kweli Mzee Mengi yuko nyuma ya kazi hii ya kufichua UFISADI, basi hakika Mwenyezi Mungu ampatie afya, neema, uzima na baraka katika maisha yake yote.
MAFISADI na wanao tetea UFISADI watambue kuwa siku zao ZINA HESABIKA!
MZEE MENGI HONGERA SANA!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.