Hayawi hayawi sasa yamekua ile wiki iliyokuwa ikisubiriwa kwa shauku kubwa nchini Tanzania ndiyo hiyo imeanza.
Unajua ni nini? Ni mazungumzo kati ya serikali ya Tanzania na kampuni ya uchimbaji wa madini ya Barrick gold mining juu ya madai ya wizi na ukwepaji wa kodi tangu mwaka 2000...
Kila mtu anayetoa mawazo tofouti na mnayotaka kuyasikia mnamuona ana njaa au kapewa pesa!!! Hebu jaribun kutoka nje ya boksi na mtumie akili zenu kufikiri!!!! Leo mnamshibikia huyo tochi aliyewekewa betri!!! Kesho akiongea tofauti na mlivyozoea kusikia mtaanza kusema kanunuliwa!!! Jaribun kuwa...
Huyu ni mkurugenzi mtendaji wa Itv/Radio One, ni Mama shupavu, jasiri na mwenye uthubutu ambapo kwa miaka zaidi 15 amezisimamia taasisi hizi kwa kuwa na vipindi imara vyenye kuleta tija ya maendeleo katika taifa letu.
Ikumbukwe kuwa huyu ni Mama pekee anayeongoza taasisi hii ya habari ambayo...
Huyo fatma karume anatafuta kiki tu kama harmorapa!!! Ameishi ikulu wakat huo leo anajidai mtetezi!!! Anapoteza mda wake bure!! Jana atakachofanikiwa!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kauli ya Tundu lissu ya kuzitaka nchi wahisani kuinyima Tanzania misaada kwa kile alichodai ni ukandamizaji wa kidemokrasia, Imehojiwa na wachambuzi wa kisiasa kuwa kama kauli hiyo ndiyo msimamo wa chama hicho, basi kijitokeze hadharani na kusema kuwa kinatumika kwa faida ya nani.
Zitto Zubery...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Magufuli kesho anaanza ziara katika mikoa ya kigoma na tabora ambapo atazindua miradi ya ujenzi ya Barabara, Kila la heri Mh Rais, Mungu aendelee kukubariki katika safari yako ya kuibalisha Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.