Habari za wakati huu wakuu, naomba mwenye kampuni yeyote ya clearing and forwarding au anayeweza kunipa connection ya wanafunzi zaidi ya 10 kupata field ndani ya dar es salaam ani PM.
Weka bei yako kila mwanafunzi mmoja akipokelewa nikupe kiasi gani wanafunzi wapo wengi.
Note: Kipindi cha...
Hofu ndio ugonjwa mkubwa sana duniani.
Ukitaka uishi kwa amani basi epuka kuwa na hofu. Hofu ndiyo inayoongoza kuua duniani.
Maradhi mengi tunayapata kwakuwa na hofu.
Kichaa mfumo wake wa ubongo hauna hofu hata kidogo nandomana anaweza kula chochote asidhurike.
Mtu mwenye akili timamu...
Mfumo upo automatic. The lowest bidder ndio atakuwa shortlisted. Uzuri pia wa mfumo huu unaonesha hata kama umeshindwa tenda utajua ni wapi umeshindwa tender na mshindani mwenzako. Upo wazi kabisa tofauti na TANePS
magoma ndo usiguse kabisa maana mkonge wenye singa nzuri Tanzania unatokea magoma na ni sehemu yenye mkonge mwingi mno ikifuatiwa na hale. Magoma, kwamandondo, mashewa mpaka mavovo, maramba yote wameshaamka. bora maeneo ya matarawanda, makorora, mahenge na kwamndolwa unaweza pata marneo. kwa...
kwa sasa kwa maeneo kongwe kama Korogwe inakuwa ngumu kidogo. Japo ukibahatisha wewaza kupata. Na ni kwa bei ambayo imechangamka.
Watu wengi kwa sasa wanaenda handeni mana bei iko chini, kwa ekari unaweza pata hata kwa laki moja (hii ilikuwa mwaka jana) huenda bei ikawa imepanda zaidi mana watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.