Max......duh nimeshindwa kustahmili kaka,almost one week tokea july imeanza lakini naona hakuna ile kitu NAFASI ZA KAZI JULY.tafadhali tuwekee mambo.
Mod .......tafadhali Max akishatuwekea nafasi za kazi za July unganisha na hii mada.
duh hawa jamaa sio utani,yaani kila safari timu ya taifa kiongozi anatoka TFF,ukiachilia ile ya burkina faso.
uonhoziw a juu wote unaenda australia hakuna hata kiongozi kutoka ZFA.
mafisadi kweli hawa.
TFF yajibu mapigo ya ZFA
2008-05-28 08:49:50
By Somoe Ng?itu
Shirikisho la soka Tanzania...
FYI mheshimiwa CHACHA WANGWE!!!!!!!!
Kujitowa kwa Mahathir katika chama tawala kunatishia hatamu za Waziri Mkuu Badawi nchini Malaysia.
Waziri Mkuu wa Malaysia Abdullah Badawi amekataa wito wa kujiuzulu baada ya mtangulizi wake kukiacha chama kikuu tawala nchini humo leo hii hatua...
ktk press conference ilofanyika leo hii hapa IKULU ZANZIBAR,muheshimiwa rais wa zanzibar amesema mengi kuhusu usaniiwa cuf n.k lakini kubwa amesema kuwa ametunukiwa shahada ya heshima ya udaktari na chuo kimoja huko usa.
JF members......naomba kuanzia leo mheshimiwa rais wa zanzibar tuwe...
nipo naangalia runinga ITV naona kuna TETEMEKO la ardhi huko china.
naamini kwa uwezo wake mola,watanzania wenzetu wote kwa ujumla wako salama.
najaribu kumtafuta mdau mmoja wa JF aliyeko huko china atupe news zaidi.
mkuu sasa umeanza kuleta dharau kibri na unafiki.kuteuliwa nafasi ya naibu gavana imeanza kukufanya utoje mafuta sio na kuanza kutudharau wa-znz????? kama kupika chai na waliNZI getini mbona wewe hukuajiriwa kazi hiyo.
TAFADHALI TUOMBE RADHI
http://www.mwananchi.co.tz/newsre.asp?id=5520
Shein aenda Denmark, Uingereza
2008-04-15 10:33:26
Na Mwandishi Wetu
Makamu wa Rais, Dk. Ali Mohammed Shein, jana aliondoka nchini kwenda Copenhagen, Denmark na London, Uingereza kwa ziara ya kikazi ya siku tano.
Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na ofisi ya Makamu wa Rais...
Haya kumekucha jamani, baada ya jana pirika za kuipitia ripoti ya RICH-MONDULIS leo ni siku nyengine ya kuijadili.
Mliopo DODOMA tuleteeni DATA kunani HUKO?
Mheshimiwa Spika, kutokana na madai hayo ambayo hayakuwa na uthibitisho, Kamati ya Wataalamu ikaipendekeza Richmond Development Company...
Nakuuliza mheshimiwa JK....JF members na wa-TZ wenzangu wote HAKUNA MZANZIBARI MWENYE SIFA YA KUCHAGULIWA KUWA GAVANA WA BoT???? haaaaaa ametoka,dr idrissa rashid(mtanganyika) amekuja BALALI(MTANGANYIKA) na huyo wa sasa Prof NANI HATA JINA SIMJUI anatoka TANGANYIKA also.
Mheshimiwa JK...
Mheshimiwa Zitto Kabwe........
kwanaza nakupa kheri ya mwaka mpya 2008 wewe na wana-CHADEMA wote.
kwa vile hapa JF we Dare to Talk Openly...........
kwa heshima na taadhima tunakuomba utuwekee barua ulomuandikia Spika ili tuendelee kumkomalia NYANI na mapema 2008,tujue wapi PUMBA tutoe na...
Stay Tunes please.
Mod OLE.......
nakuomba mkuu hii topic iache kwanza mpaka tujue matokeo then uipeleke kule kunakohusika.........TAFADHALI MKUU nakuomba.
hebu tuekeeni up-DATES.......manake nasikia rwanda amesharambwa mbili.
JF members.......
mola akipenda 16/december/2007 ni siku yangu ya kuzaliwa.
naomba nichukue fursa hii adhimu kujitakia nafsi yangu HAPPY BIRTHDAY TO ME.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.