GT
na wewe kuulizia wake za watu??? hebu tafuta wako ufunge naye ndoa.
anyway huyu mama nimesikia this time anaenda kuhiji HAJJAT MAMA SALMA KIKWETE.
hajjat mama mwema-mke wa dr shein.
hajjat mama shadya karume.
mtu wa pwani
habari za siku mkuu.
ni kwli kabisa al-marhum prof haroub ni msomi alyebobea sana haswa ktk masuala ya muungano.
binafsi nilibahatika kufanya naye kazi pale znz haswa mwaka 1994-95 uchaguzi wa vyama vingi.nilikuwa katibu wake ktk ile NGO's ilokuwa inajulikana kama ZEMOG.
ile...
kama mie mzazi wangu angekuwemo ktk lile kundi la walimu walochapwa viboko,basi vita yangu na huyo DC ingekuwa kuliko ya HAMAS na FATAH kule PALESTINE.
GT
nakukumbusha tena yule ni HAJJAT SHADYA KARUME mke wa rais wa znz Dr Amani Abeid Karume,umemsikia juzi alivyonguruma ktk BARAZA LA EID.
kibunango
ahsante kwa ufafanuzi wako maridhawa.
ikimalizika SWAUM YA RAMADHAN mola akipenda utafunguliwa,kwa sababu mhusika anayetaka kupelekwa anatoka znz na hapendelei kula EID nje ya znz.
Engineer.
mkuu usikhofu,najua TIME IS RUNNING au vp mambo ya NDOA etc.
kweli mkuu ni lazima kukumbushana haswa kipindi hichi mambo mengi vikao n.k.
haya kaka endelea kutuwekea utamu wa nafasi za kazi hapa.
yale mambo ya NDOA lini vile,hebu nikumbushe tena.
Max......duh nimeshindwa kustahmili kaka,almost one week tokea july imeanza lakini naona hakuna ile kitu NAFASI ZA KAZI JULY.tafadhali tuwekee mambo.
Mod .......tafadhali Max akishatuwekea nafasi za kazi za July unganisha na hii mada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.