Search results

  1. E

    Wawakilishi Nao!

    duh kazi kweli kweli mwaka huu.
  2. E

    Hongera Mama Salma Kikwete

    junius hivi mke wa waziri kiongozi smz anaitwaje vile??? mbona simsikii ktk vyombo vya habari.
  3. E

    WaPemba wafanya kweli

    GT taadab tafadhali.juzi timu ya u-17 ya MJINI MAGHARIBI imeifunga TABORA 2-1 katika fainali za copa coca cola mbele ya alhaj JK.
  4. E

    Hongera Mama Salma Kikwete

    GT na wewe kuulizia wake za watu??? hebu tafuta wako ufunge naye ndoa. anyway huyu mama nimesikia this time anaenda kuhiji HAJJAT MAMA SALMA KIKWETE. hajjat mama mwema-mke wa dr shein. hajjat mama shadya karume.
  5. E

    Legacy ya Prof Haroub Othman Miraji

    mtu wa pwani habari za siku mkuu. ni kwli kabisa al-marhum prof haroub ni msomi alyebobea sana haswa ktk masuala ya muungano. binafsi nilibahatika kufanya naye kazi pale znz haswa mwaka 1994-95 uchaguzi wa vyama vingi.nilikuwa katibu wake ktk ile NGO's ilokuwa inajulikana kama ZEMOG. ile...
  6. E

    Waziri Kiongozi kaamua kuwa mfagiaji...

    mwiba kwa nn ajishushe hadhi?akimaliza muda wake huduma muhimu zote bure mpaka kufa kwake.mie naona anajisumbua tu,atulie tu kama wenzake.
  7. E

    DC Bukoba aamuru walimu wachapwe mboko!

    kama mie mzazi wangu angekuwemo ktk lile kundi la walimu walochapwa viboko,basi vita yangu na huyo DC ingekuwa kuliko ya HAMAS na FATAH kule PALESTINE.
  8. E

    'Operesheni Sangara' yatua Zanzibar

    duh mkuu hiyo kali.
  9. E

    Forodhani ZNZ yauzwa kwa wageni?

    GT nakukumbusha tena yule ni HAJJAT SHADYA KARUME mke wa rais wa znz Dr Amani Abeid Karume,umemsikia juzi alivyonguruma ktk BARAZA LA EID. kibunango ahsante kwa ufafanuzi wako maridhawa.
  10. E

    Tanzania's Foreign Policy

    ikimalizika SWAUM YA RAMADHAN mola akipenda utafunguliwa,kwa sababu mhusika anayetaka kupelekwa anatoka znz na hapendelei kula EID nje ya znz. Engineer.
  11. E

    **Ramadhani Njema**

    na mie nawatakia ramadhan njema kwa waislam wenzangu wote.
  12. E

    Nafasi Za Kazi... July 2008

    mkuu usikhofu,najua TIME IS RUNNING au vp mambo ya NDOA etc. kweli mkuu ni lazima kukumbushana haswa kipindi hichi mambo mengi vikao n.k. haya kaka endelea kutuwekea utamu wa nafasi za kazi hapa. yale mambo ya NDOA lini vile,hebu nikumbushe tena.
  13. E

    Nafasi Za Kazi... July 2008

    Max......duh nimeshindwa kustahmili kaka,almost one week tokea july imeanza lakini naona hakuna ile kitu NAFASI ZA KAZI JULY.tafadhali tuwekee mambo. Mod .......tafadhali Max akishatuwekea nafasi za kazi za July unganisha na hii mada.
  14. E

    Dr.Slaa ajiandikisha rasmi kuwa member JF.

    anaitwa Mhshimiwa Dr Abeid Amani Karume. Mheshimiwa Dr Wilbroad Slaa welcome onboard.
  15. E

    SAKATA LA UMEME ZANZIBAR: Lawama kwa Serikali, Tanesco ama ZECO?

    kibu...... leo tayari umeme tumeanza kupata,acha niitoe upepo water pump yangu then niiwashe.
  16. E

    Testing KLH Live!

    mkuu mbona mie sikupati???? hebu nipe steps mpaka nisikie radio yako.nipe na time unakuwa muda gani live.
  17. E

    Wanawake wa PWANI

    mkuu unaujua udi wa kisomali wewe?
  18. E

    DVD ya FMES =FAIL?

    umefunga mjadala mkuu.mola akubariki wewe na familia yako na JF wote.
  19. E

    US Election Coverage 2008

    mkuuu mhhh hilo neno,hebu weka kiswahili chako sawa.
  20. E

    Website ya IKULU na miradi ya COMPUTER ya Serikali

    loh mkuu july??? mbona cc ndio kwanza june.upo sayari gani mwenzetu? mhhh ama KWELI FEGI ZINA MADHARA JAMANI.
Back
Top Bottom