Yap aksante Mungu ameanza kujibu Mapigo,hata Libya ilianza hvhu mara wakaibuka watiifu na Wanaoitwa Wasiowatiifu wanaodai haki za watu na maslai ya taifa. Tz iz alound ze kona.
Siku hizi kazi ikitangazwa huwa watu wanaanza kufuatilia sehemu ya experience then level ya education wanayohitaji..Du experienc miaka 15,hii kali mwili wangu unatetemeka wote.
Mimi ni kijana wa Kitanzania,si mkimbizi ndo maana nimeandika id ya kitanzania,ni mtaalam wa ku design website...Kwa atakae hitaji naomba ani PM. Jaman naombeni msaada wenu ndo nimejiajili hivi.Aksante sana wana Jf kwa kusoma post hi nazani mmenielewa.
he hiv huko sinza ni wap au ndo kwa obama!mbona mnakusifia hvy..he hi hatar kwa kijana wa taifa la leo.,takwim zinasema asilimia 90 ya wakazi wa sinza ni wa kuja kwan hufuata mkumbo ni hayo tu.
Pole sana binti kwa yote hayo,ila unaonekana una tatizo linakusumbua@1 ni kuchagua ainaflan ya watu hata kama ni mkwel kwako hukubalian nae kwan una kind yako unayoitaka.2 humchunguz mwanaume kabla ya kukubaliana nae.ushaul wangu ni kwamba ondoa dhana ya kuitaj aina flan ya mtu kwan mchagua nazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.