Mayweather ameendelea kuhidhirisha ubabe wake baada ya kumpiga McGregor kwa T.K.O katika round ya kumi........
Round 1:McGregor anarusha ngumi kwa kasi na kumpeleka Mayweather kwenye
kamba na mpaka mwisho wa round hii McGregor anaoongoza kwa points
Round 2:McGregor anapewa onyo...
Kuna mama alikua katoka kupakua chakula ili ale..ghafla akasikia mtu anabisha hodi
basi harakaharaka akaficha chakula chini ya kochi akaenda kufungua mlango..
mama:"Karibu shoga yangu"..
mgeni alipokaa akaanza kuona moshi unatoka chini ya kochi...akabidi aulize
mgeni:"Shoga kulikoni mbona chini...
Nilimsikia mshikaji mmoja akisema "Uzuri wa mwanamke sura....tabia nitamnyoosha"
wakuu naombeni na nyie mtupie kauli ambazo ziliwaacha hoi mlipozisikia kwa mara ya kwanza.....!
Leo nimemsikia jamaa kachapia mpaka nikahisi akiendelea hv anaweza akawa bubu..
jamaa kaniuliza hv "Eti kati ya mbuzi na mkubwa nani nguruwe?"..wakuu embu naombeni nanyie mtoe michapio ambayo mmeshawahi kuisikia ikawaacha hoi....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.