Mzee Senior Member wa wapi wewe? mbona unaongea upuuzi hivyo,elimu yako ni chini ya darasa la saba nini?mtu akifeli Form Four Mzizima ndo hawezi kila kitu,au hujui kwamba kuna ku reseat mtihanii na then ukafaulu vizuri ukaendelea mpaka chuo kikuu au vyuo vingine zaidi ya hapo,au unachuki binafsi...
<br />
<br />Mr kama huna point ya kuchangia kaa kimya,na kama hujui maandiko ya bible dont speak anything,Tiba ya ya Loliondo ni tiba sahihi ki biblia,na watu waliokwenda kule wakiwa na imani wengi walipona,kama we huamini pole,lkn watu wanaendelea kumiminika huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.