Habari jf.
Kipi kimetokea katika ulimwengu wa mahusiano ,mapenzi ya sasa kama yamepoteza kabisa mvuto watu tunafanya ili Tuzaliane tu tofauti na wazee wetu.
Kuna Tabia zimejitokeza na zinaendelea kukua sijui zinatujenga katika msingi gani.
Wanawake wanaingiliwa tu kinyume na maumbile hadi...
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu Jijini Dar es salaam leo July 26,2023 ambapo amewasihi Viongozi wenzake kuwekeza kwenye kuinua maisha bora ya Watu ili Vijana wapate maisha bora hapahapa Afrika na wasilazimike kwenda...
Habari,
Tunajua kwenye maisha Yetu kila kitu ni Mungum
Hebu Tuambie Mtu unaye mu admire alisababisha wewe upate kazi unayofanya au uliyowahi kufanya kupata maisha.
Mimi nilikuwa kitaa kuna binti mmoja alinitumia tangazo la kazi kwenye WhatsApp akiniomba nimsaidie kuaplai kazi nikafanya kazi...
Hello.
Tuambie nani kwako ni msimulizi bora na amekugusa Sana kuanzia Uandishi, mpangilio wa aya, mtiririko wa matukio na mara zote story zake ni za kweli sio Fiction.
Nitajie watatu.
Tarehe moja tutataja mshindi.
Kwangu Mimi ni:
ANALYSE
JACK DANIEL
UMUGHAKA.
Karibu.
Sent from my SO-01L...
Hello,
Unafanya nini ukiyakinai Mapenzi?
Kiukweli kuna majukumu yakibana mapenzi yanakuwa sio kipaumbele tena.
Yaani mama wa mjengo akikupa unachomeka tu no romance, no sweet sms like first date.
Ukimwaga Umelala.
Imekaaje hii wajuzi?
Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
Habari.
Kwanini serikali ya Tanzania kupitia wizara ya afya na wizara ya TAMISEMI wameweza kupitisha muongozo wa ajira za kujitolea katika hospitali za mikoa na wilaya na zikitaka Hospitali hizo kulipa kupitia mapato yao ya ndani.
Narudi kwa mada serikali yetu:
1. Je serikali imejiandaa Vipi...
Waziri wa Afya Mhe.Ummy Mwalimu, amesema serikali imejipanga kutoa elimu ya matumizi sahihi ya vidonge vya dharura vya kuzuia mimba (P2), ili kuepusha wananchi hasa wasichana na madhara, Kutokana na matumizi holela ya vidonge hivyo, ambavyo vinaweza kusababisha kupata ugumba na saratani.
Waziri...
Habari.
Tukikupa YOUTONG ya siti 60.
Zitabaki siti ngapi tukiwaweka ,wanawake uliowahi kutembea nao.
Mimi zitabaki zile tano za nyuma.
Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
Diamond na Juma Jux.
Wanusurika kifo kwenye lifti siku ya Leo baada ya Lift kukwama kwa Dk 15.
Star Wa Muziki Africa [emoji881] diamondplatnumz Ameweka Wazi Kunusurika Kifo Kwenye Lift Akiwa Pamoja Na Juma_jux Na Watu Kadhaa. #Diamond Ame-Share Video Namna Tatizo Lilivyotokea Wakiwa Kwenye...
Hello .
Kucheat kwa mwanaume ni kitu cha kawaida .
Karibu Tupeane mbinu mpya za michepuko.
1..Kuna umuhimu wa kuwa na WhatsApp mbili.
2.Kuna App ya Calculator ya muhimu Sana kuwa nayo unaweza kuhide application kama WhatsApp moja.
3.Usimzoeeshe mchepuko Ku chart au kukutafuta wakati...
Wakuu,
Kuna vita ya trending kwa wasanii wetu wa bongo fleva.
Hivi siku za hivi karibuni Alikiba na Diamond platnumz wameonesha kabisa wako katika bifu zito za mziki katika Ku trend na kushindanda view YouTube.
Tuambie unaliongeleaje hill suala kwa mdau wa mziki kati ya TEAM KIBA NA TEAM DIAMOND
Be Honest.
Kwenye Maisha ya mapenzi kuna yoyote yule ameshawahi kukupigania kwa lolote lile.
Au wewe bora lieende.
Nakumbuka kuna mwanamke wangu mmoja alinipa Laki 5 zamani izo nifungue biashara aisee ile hela ilinipa maisha nyie.
Habari.
Wikiendi imeanza.
Kiuhalisia ninaweza kuonekana mjinga ila ninakuja na mada hii.
Karibu kwa kubishana leo Tubishane mpaka Tuchoke.
Ila Tusitukanane
Aisee.
Kwa hali ilivyokuwa kwa sasa Kariakoo kama hauna shughuli rasmi haina umuhimu kwenda.
Msongamano wa watu na magari umekuwa mkubwa maradufu.
Hii inapelekea watu kuibiwa.
Hello.
Wana chitcharts ni nani alikuja katika maisha yako ukiwa na uhitaji mkubwa wa jambo alikusaidia kwa asilimia kubwa na Akaenda Hakurudi tena au haukuwahi kuendelea kuwasiliana nae.
Kuna rafiki yangu alinikopesha million 1 nilipotoka kumaliza chuo aisee yule Dada ni wakishua nimesoma nae...
HABARI Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar Tabia Maulid Mwita, ameomba radhi na kutengua kauli iliyotolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa, Sensa ya Filamu na Utamaduni Zanzibar, Dkt Omar Adam ya kwamba mwanaume yeyote anayetaka kusuka visiwani humo itambidi alipie...
Hello,
Member gani amekuwa bora kwako kwa miaka yote ya JF au tangia umeingia na umekuwa ukimfuatilia na kijifunza kitu kupitia yeye.
Binafsi ni MSHANA JR na MPWAYUNGU VILLAGE.
Nisiyemuelewa ni GENTAMYCINE ujuaji na FAIZA FOX udini.
Karibu Unitajie memba unayevutiwa nae na sababu na memba...
Za jioni
Miaka 20 Dar sijawahi kufika maonesho ya Sabasaba.
Wapi haujawahi kufika au unapasikia kukaa kote Dar?
Mbopo napasikia.
Kina sehemu inaitwa king'ong'o kwa kweli hapa hapana sijawahi kufika.
Kijichi.
Kivule.
Habari.
Kiukweli wengine tunamshukuru hata kwa uhai tulionao.
Mwanamke niliyekuwa nae mwanzoni nilimpenda na nimetumia gharama nyingi kwake.
Kikweli nawapongeza wanaume waliopata wanawake wenye Tabia za kueleweka na roho nzuri.
Hongereni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.