Habari wanajamvi, natumaini mpo poa?
Nilikuwa naulizia kwa wajuzi, kodi za mizigo inayokuja na meli kwa njia ya posta mfano, mzigo ya phone and computer accessories TRA wanachukuaje kodi?
Naombeni msaada.
Wakuu habari Za wakati huu kama kichwa kinavyosema nataka kutambua uhusiano Kati ya mafuta ya zaituni na majini
Mana nimesikia haya mafuta yanaweza kutoa majini mwilini na yanaweza kutoa uchawi licha ya kazi yake ninayo ijua mimi ya kulainisha ngozi na kuifanya iwe mzuri.
NAWASILISHA MADA...
Wakuu habari za muda huu natumaini mpo powa leo naomba watu wenye uelewa wa kutengeneza beat kwa FL studio wanisaidie. Mimi nina idea ya kutengeneza beat ila kuna vitu sivijui kupiga live kama kinanda na gita hivyo naomba maelekezo na musikilize baadhi ya beat nilizo tengeneza maoni ushauri...
wakuu habari kama kichwa kinavyojieza naomba msaada mimi nataka kutengeneza instrumental na ninayo fl studio lakini hipo demo sasa kwa wanaojua wapi naweza kupata hyo fl studio 12 iliyo full registered pamoja na vst plugin kibao kama unaweza naomba unitumie au nitumie hata link asanteni...
Habari za wakati huu naitwa kingkimbe nashukuru kwa kuwa hapa jf nilikuwa nikifatilia sana hii forum asanten sana.
Post sent using JamiiForums mobile app
Leo nina habari nzuri kwa watu wote wanaoitaji kuroot, Ku unlock, na kuflash simu zao inbox me kwa ajiri ya software na maelezo zaidi
Post sent using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.