Mleta mada tuambie wewe unachojua.
Mfano hipo mingi Tu mfano nzuri wewe si Una balance yako vizuri lakini ukijikwaa unaanguka hivyo na vimondo msuguano UKIWA mkali vinameguka simple Tu. Kuhusu mwanga kupotea kikifika chini kuna mfano UKIWA unakata chuma na grenda utaona mwanga WA cheche baadae...
Mwl.RCT
Naomba kuuliza maana wewe ni mkongwe kwenye hii tasnia ya usafirishaji naomba kuuliza soko kuu la mtandaoni Dubai kama ilivyo Alibaba China kama unalijua naomba unisaidie
Mmmh!! Mwezi WA 10 ilikuwa elfu 21 boss mbna unatupiga na kitu kizito me nililipia mwezi WA 12 nikafungiwa mwezi WA Tatu hiyo 320 ulilipia na nguzo au 3phase ??
Habari wanajamvi, natumaini mpo poa?
Nilikuwa naulizia kwa wajuzi, kodi za mizigo inayokuja na meli kwa njia ya posta mfano, mzigo ya phone and computer accessories TRA wanachukuaje kodi?
Naombeni msaada.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.