Search results

  1. T

    kifo cha shekhe, kazi ya Mungu

    Question for the debate
  2. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    uadilifu wa ofisi za umma ni mbovu na pia viongozi wa nchi hii wanachezea sheria kwa manufaa yao
  3. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    corruption is the root cause of poverty
  4. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    DR Mwakyembe the national developmental vision 2025. that Tanzania will become a middle income country, the things that will get us there are 1. mechanized agriculture 2. developed fishing 3. value addition on agro products 4. good governance Dr mwakyembe is stating that the youth will be...
  5. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    tanzania uko masikini lakini nadhani sisi tunaweza kujitoa katika umasikini kama tutaamua kama wananchi
  6. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    tanzania ni masikini kwasababu: 1. siasa isiyo kuwa safi 2. viongozi wasiyokuwa waadilifu 3. sheria za nchi kuwa mbovu 4. hari ya watu wasioyotaka kufanya kazi 5. rushwa
  7. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    mangasini is telling us the truth kweli Tanzania ni masikini maana ni aibu hizi kama kwenye nchi yetu hii
  8. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    50 years ago tanzania ilikuwa sawa na korea kusini lakini flashforward tanzania bado ndo masikini na korea kusini ndo inatufadhili hii ni aibu
  9. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    mr mangasini anasema kwamba tanzania bado ni masikini na hiyo ni kwasababu tanzania yote ni a very big village kwasababu tanzania bado ni agriculture based country katika takrimu za uchumi
  10. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    misingi ya nchi hii 1. uadilifu 2. tusibaguane kwa namna yoyote 3. siasa safi
  11. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    history class kutoka kwa mh sitta. ni vyema coz jamaa anaelezea kwa mafumbo vitu vingi sana
  12. T

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    sidhani kama jamaa anakosa usingizi kabisa mi naona kama atadhoofika sawa lakini
  13. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    viongozi wengi wa tanzania ni wazembe na pia wanaogopa sana wananchi kwasababu wanajua ujinga waliofanya
  14. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    mh samwel sitta anaongea kuhusu nchi yetu tunaona kidogo anaweza akaelekea kutuambia ukwel kuhusu nchi yetu
  15. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    tunahitaji nini serikali mpya au tunahitaji watu wabadilishe mawazo na tuchukue suala lote la nchi mikononi kwetu?
  16. T

    Mhadhara Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi: Mwakyembe, Sitta, Shivji et al ndani!

    wageni rasmi wenyewe wamechelewa ratiba ilikuwa ianze saa mbili lakini mpaka now hawafika. inaonyesha ni jinsi gani watanzania sio watu wanaoheshimu muda kama resource ndo maana mpaka sasa hivi si ni masikini kama viongozi ndo hao wanachelewa je vitu vingine.
Back
Top Bottom