Search results

  1. B

    An apollogy from the end of the world commitee

    Non sense,do not joke's things like that,we all dont know actualy what's end of the world,better if we leave it at it is.
  2. B

    Kumbe babu ferguson anaweza kiduku

    Khaswa alijaribu na anaweza kucheza kiduku shenz taip,kafunzwa adabu na heshima,kasema hataki tena kukutana na barca,amekoma khasa.
  3. B

    Tetesi.Sir Alex Furgason akata rufaa.

    Kinachofanya tufurahi ni kwamba mnaongea sana utadhani nyie ndio barca,na mliongea sana,mwishowe mmepata aibu na kasha,na fedheha juu
  4. B

    Tetesi.Sir Alex Furgason akata rufaa.

    Aibu kwenye ball posess,aibu kwenye pasi,aibu hata kona 1 hujapata?kilichotokea 2009 ndio vile vile majuzi,man u hamna timu mna uharo.
  5. B

    Tetesi.Sir Alex Furgason akata rufaa.

    man u utawaonea hao hao waingereza kwenye ushindi wako wa kupewa,ulikuwa unaenda mbio tu,hakuna chicha naazi rito,wala kizee gigz
  6. B

    Tetesi.Sir Alex Furgason akata rufaa.

    Eti haichekeshi unavyoona ww?ule ni mpira wa miguu i mean football,sio mchezo wa ng'ombe mnaocheza uingereza,man u umetiwa aibu.
  7. B

    Tetesi.Sir Alex Furgason akata rufaa.

    Inachekesha sana bingwa wa uingereza uliejinata ushachukua mara 19,then kufanywa kinyago na kituko vile,mlijitapa sana man u,saizi yenu
  8. B

    SATA na IDE ndio nini?

    Sata is more security than ide,so hata kuformat kwake sata ni vigumu while ide kama kumsukuma mlevi.
  9. B

    Natafuta mume

    Pole dada ,la umuhimu ni kujua madhali bado upo duniani basi rizki yako ipo,zidi kumuomba m'mungu akurahisishie kumpata.
Back
Top Bottom