Huyu mama anapoandika hayo mtandaoni hajui watoto wake wanakua na wataona alivyokuwa anatoa siri za ndani... Japo mzee anaweza kuwa na makosa lakini mama hakutakiwa kuanika siri namna hiyo. Mitandao hasa kwa sasa ni kumbukumbu tosha.
Hujatuambia ni tarehe ngapi na mwaka gani hayo mambo yalitokea.. sitegemei kama itakuwa ni kuanzia December mwaka jana (2015) wenda November 2015 kurudi nyuma. hakikisha umeshabadili majina ya umiliki asije akataka kuzirudisha chini ya miliki yake.
Malalamiko yote juu ya uendeshaji wa mitandao ya simu huanzia TCRA. Jaza complain forms zilizo katika website ya TCRA hapo utasaidiwa
Pia jedwali hilo litakusaidia.
"Mwanzo 1:28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi." Ni mpango wa Mungu kuijaza dunia, nadhani kwa sababu ni mambo ya imani (Waebrania 11:1-maana ya...
Mwanadamu aliumbwa kuishi milele, kabla ya dhambi hakukuwa na kifo lakini baada ya dhambi ndipo kifo kikaanza then miaka ya kuishi ikaanza kupungua. Kwa hiyo kupungua kwa miaka ya kuishi hadi hivi leo ambapo ww waweza ishi miaka 40 au 10 au 25 basi ni matokeo ya dhambi. Biblia imejazwa na maneno...
Tofauti na mrabaha ambao unauona mdogo zipo kodi nyingine wanazo lipa kama CIT pia wanalipa service levy kwa halmashauri sasa kwa gharama hizo uweke na gharama za uendeshaji wanazoingia. therefore usiangukie sana kwenye mrabaha na kuona hapo ndo wamemaliza wenda waweza fanya uchunguzi na kuona...
Nenda ustawi wa jamii katika usuluishi au kanisani kwenu au katika baraza la kata la usuluishi ili kupata cheti kwamba ndoa yenu haiwezi kurudi tena vizuri baada ya hapo waweza peleka maombi mahakamani ili kupata talaka. For further instruction waweza nichek>>
na ww nae umeenda race kwa kuamini maneno ya kiongozi wako Mamvi, uboreshaji wa masiha ya waalimu huja baada ya kuweka miundombinu vizuri.. hata ukiboresha maisha ya waalimu watakapokuwa wanafundisha bado watoto hawataelewa wala kufurahia coz hakuna miundombinu mizuri kama madawati, majengo n.k...
We umeshakula utamu kwa muda wote huo tangu mimba changa hadi kufikia kujifungua kwa hiyo we endelea tu uwe baba wa kufikia si mbaya wapo wengi sana wanalea watotot si wao yawezekana mtoto wa pili atakuwa wako.
Wadau habari humu!! embu nijuzeni hapa kwa sababu nimejaribu kufuatilia lakini sijapata jibu sahihi ambalo lina mantiki na halina utata. Hivi jina 'TANGANYIKA' lilitoka wapi na nini chanzo chake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.