Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za Makao makuu ya Chadema, Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa Patrick Ole Sosopi ametoa rai kwa wananchi kuitumia siku ya maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika, Desemba 9, 2018 kuwatembelea wafungwa walioko katika magereza mbalimbali huku akipinga agizo la...
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China kwa kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuimarisha miradi ya maendeleo sambamba na kukuza uhusiano uliopo.
Dk. Shein amesema hayo alipokuwa na mazungumzo na Makamu...
Jarida la HinduBusinessLine toleo la Machi mwaka huu limesheheni ukweli huu na sababu za kuanguka bei za korosho mwaka huu likitabiri mwishoni mwa mwaka zitaanza kupanda. Kuanguka huko kwa bei pia kuliathiri uzalishaji wa korosho ambapo ni benki chache huko India na Vietnam zilikuwa tayari...
FATMA KARUME NI MWANASHERIA ASIYE ZIFAHAMU SHERIA.
SAKATA LA USHOGA LIMEWASAIDI WATANZANIA KUFAHAMU UWEZO WA KISHERIA WA FATMA KARUME.
.
Nimesoma maandiko kadhaa ya mwanasheria Fatma Karume, Kwa wale wasiomfahamu vizuri Fatma Karume ni mjukuu wa muasisi wa Mapinduzi ya Zanzibari,
Fatma ni...
1) Hivi global TV na bongomikasa TV ni za nani?
2)Hivi faida (profits) za kuendesha TV kwenye mtandao iko je?????
3)Nikitaka kufungua yangu taratibu ziko vipi??????
4)Nitafurahi nikipata namba za simu za mmoja wao ili wanisaidie.
Ndugu wana JF,
Siasa za nchi hii kwa sasa zimekosa mashiko kutokana na utendaji wa serikali ya awamu hii.
Haya ni maswali najiuliza na ningependa kushare nanyi:
Lini katika uongozi wa NYERERE, MWINYI, MKAPA na KIKWETE tulitangaziwa na serikali kwamba inaenda kukopa zaidi ya kusikia kwenye BUNGE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.