Hivi nashindwa kuelewa kila uendapo nchini kwenye mitaa utakuta kuna vyama vya kina mama utasikia tu mke kaaga naenda kikao tuna chama chetu cha kukopeshana lakini huwezi hata siku moja kuona kaja na burungutu. Hivi mbona kina baba hawana hivyo vyama na ndio wanaotegemewa kwenye familia. Au...
Naomba kujuzwa kama kuna anaefahamu kampuni au mtu anaeweka floor ya tarazo either granite au mawe mengine. Shukrani
Wenu katika ujenzi wa taifa
Kifuniko
Nategemea kutoka nje ya nchi, kama kuna mrembo yeyote aliefunga chuo anataka kula bata likizo ani PM. Awe na passport na mrembo, mweupe au maji ya kunde
Hebu tukumbushane ni mbinu gani ya kuibia kwenye mtihani enzi zako ilitisha, mimi nakumbuka jamaa alichukua karatasi ya mwenzake ili aigilizie mwalimu akaja na akaganda bila kuondoka jamaa akashindwa kuirudisha na muda wa kukusanya umefika, mwenye karatasi akainuka vibaya akanyanyuka na meza...
Wana JF naomba msaada kama kuna mtu ana list ya makosa mbalimbali na faini anayopaswa mtu kutozwa pindi anapokamatwa maana trafic wanaonea watu kwa kutokujua nini haki zao
kwa wale mliosoma Old Moshi -PCM mnamkumbuka babu seleki aliekua mwalimu wa Adv Maths, yule mzee alikua kichwa sana, alikua anakuja bila any reference paper mwanzo form 5 mpaka form 6 anafundisha kwa kichwa kuanzia notes na mifano yote na majibu yake, aisee kila nikimkumbuka yule mzee sipati...
Kuna mtu anaweza kunipa msaada namna ya kujiondoa kwenye google search result let say kama unatitwa hamisi juma mtu akiandika asipate results zenye jina lako
Kuna rafiki yangu hayupo JF ila ameniomba nimuombee ushauri, yeye anamhisi mkewe ana mahusiano na mtu mwingine na wanawasiliana kwa simu, je akienda ofisi za vodacom watamsaidia kuchapisha meseji wanazochat ? nitangulize shukrani kwa msaada wenu tumuokoe ndugu yetu
Naombeni msaada kama kuna mtu anajua agent wa SONY kwa Tanzania nitawapa wapi wanipe msaada kitaalamu LCD yangu haiwaki inaonyesha taa red kama iko Standby mode lakini ukitumia remote kuwasha inakuja green kama inawaka then inarudi red, nitangulize shukrani kwa msaada wenu.
Jamani nina plot nauza ipo Nyamhongoro Block B, ina ukubwa wa sq m 640 (21mx30m) ina bomba la maji na nguzo ya umeme, ina vyumba 4 , library,dining, stoo , sebule na kitchen. Nyumba iko kwenye lenta. Atakaeonyesha nia bei tutaongea. Nawasilisha mada
First law:
A boy in love with a girl continues to be in love with her and a girl in love with a boy continues to be in love with him, until and unless any external agent(brother or father of the girl) comes into play and breaks the legs of the boy.
Second law:
The rate of change of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.