Mtu anakwambia mimi toka zamani nilikuwa upinzani....ila nimeama baada ya jamaa kumsimamisha mtu toka ccm....
Sasa unajiuliza huyu alikuwa upinzani akiwa na lengo gani...je alikuwepo ili kuitoa ccm madarakani....?je alikuwa mpinzani kwa kuwa alichoshwa na mfumo mbovu unaoitawala nchi...?je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.