Kama nimelewa vizuri basi jamaa anazo document tu, mtaji hana, anataka mtu mwenye mtaji.
Kama nimeweza kupata mtaji nitashindwa vipi kupata document stahiki kwa ajili ya biashara?
Ni sawa na uwe na full document zinazohitajika kwa ajili ya passport lakini bado unapitia kwa kishoka.
Magufuli amefariki tangu 03/2021,
Sukari imeadimika au haipo kuanzia 01-02/2024,
Napata shida ni kwa jinsi gani Magufuli anahusika, naomba nisadiwe tafadhali…
Mayday ni kali ila haifuniki Vita Imana yake Ferre Gola Le Padre.
Kufahamu nani mkali zaidi kati yao naona mchuano bado ni mkali japo Ferre is clear kwa upande wa Rhumba.
Kwenye kipengele cha Rhumba kwa maoni yangu binafsi naenda na Ferre Gola le padre,
Fally ni wa moto tena moto kweli kweli, Mayday unaweza kusikiliza 24/7 bila kuchoka ila Ferre is clear kwa masikio yangu.
Ni kama battle ya Messi(Ferre) na Ronaldo(Fally).
Salaam,
Mfumo wako mbona kama ni ghali sana?
Nimeshakutana na matangazo kadhaa hapo nyuma na bei zao zina-range 500k with installation, ya kwako ni 700k without installation.
Au ni moja kwa moja hakuna yearly subscription?
Huu mkwaju (Carte Rose) haupo kwenye kwenye Dynastie 2, ndio nimegundua leo kuwa hizi Dynastie kumbe zipo tatu.
Ahsante kwa kunifumbua macho, nakwenda kupakua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.