kuna jamaa yangu wa karibu, alitoka kwao baada ya kuona wadai wake,wanamfuata hadi kwao kutaka hela zao,hapo anafanya kazi lkn anaishia kukopa kwa mwasibu, akaniambia P.soul mm naenda kujificha na nabadili namba ya simu, sina aman kbs maisha haya.akaendaga wap cjui....huku akiendelea n kazi..10...
Inafanya kazi vzr sana, ila angalizo.
1.Amini kama Chochote kilichobarikiwa kwa jina La YESU KRISTO( au Jina Mungu) basi nguvu ya Mungu iko ndani yake
2.Mwenye kuamini kama Mungu anaweza basi hayo mafuta yatafanya kazi kubwa ndani ya masaa tu au wiki tyr utakuwa ushasahau matatizo yako.
3.Kabla...
Nmefilisika,nmeachwa,nmesalitiwa ,nmeona rangi za wanafiki, ila Roho yangu na Nguvu yangu Mungu ameilinda.Natumai nilivyopoteza vitarudi maradufu.
{Ahsante Niko hai}
2022 It's not over until I win#
Akikupa hela kataa, mwambie tunza beibi, usiombe hela ya kusuka,we jisukie twende kilioni kwa mama Amina jirani yako hapo, na Mheshimu muite baba.[emoji180][emoji16]
Cngo mother kaongezwa.inauma sana.,.kaa nae Lea mimba, ajifungue salama..mengine yatafuata,
NB: usihukum mapema, Huyo akili yake haijakuwa bado,ukisamehe,uwezekano wa kufanikiwa n mkubwa sana,maana itakuondolea stress za mbeleni utakapopata taarfa za Mara kwa Mara kuhus afya ya mzaz mwenzako.
Never give up on your family never.(children). But wife is NOT your blood relative.
SO,akitaka kumuacha,onana nae (Ila pambania watoto wako wakue vzr),ili ujihakikishie sababu ya kuachana, alaf kubali kuwa mjinga muachane officially ili asijekusababishia matatizo makubwa mbelen ukapata kilema...
Ukisikia MTU,anautajiri wa kiasi fulani,basi ujue hizo ni jumla ya cash ,asset and other investment.kwa mantiki hyo ,MTU, MTU anaweza kuwa na utajiri wa 6mil $..(13bn+) lkn bank akawa na cash ya 200K $ tu..hela nyingine hana cash wala bank Bali iko attached na asset kama mifugo ya ng'ombe,nyumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.