Safi sana ndugu yangu umefanya maamuzi ya busara kabisa,kwa ushauli achana na hao wote wanao kukejeli bali tuzidi kushilikiana ili tuzidi kukihimarisha chama chetu cha mapinduzi
Hi people? Tukitaka tuhijenge nchi yetu basi nawaomba tuache malumbano,kutukanana,na kusemana maneno vibaya katika majukwaa ila nawambia tukiendelea na marumbano na kutukanana bsi hayo maisha bora na maendeleo tuta yasikia kwa nchi za wenzetu.
okey ndugu zangu nilikuwa nawapima mawazo yenu ila ili tuweze kutoka katika umaskini tulio kuwa nao inabidi wote tushilikiane kwa pamoja kwa kusema basi ila tukibakia kulumbana katika majukwaa haitasaidia hata kidogo.
Tatizo lenu hamjielewi na inavyoonekana nyie wote ni vyama pinzani endeleeni hivyo hivyo na huo ujinga wenu mtabaki kusema tu na mpaka midomo yenu itawanuka kwa kusema vitu visivyo vya msingi.Kama mkekuwa na uchungu na nnchi yenu basi msinge fanya makosa 2010.ETI MNASEMA MIAKA 50 FOR NOTHING...
Maisha bora kwa mtanzania yanawezekana kuletwa na CCM na wala si chama kingine hapa Tanzania.Hivi vyama vingine kazi yao kuchochea vurugu na chuki kwa wananchi wa Tanzania.CHAMA CHA MAPINDUZI NI CHA CHA UKWELI KULIKO VYOTE HAPA TANZANIA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.