Wakuu naomba kuuliza je nikweli baadhi ya watumishi wa umma watapandishwa madaraja mwezi huu. Nauliza hivi kwakuwa wapi wanaosema Mhe.Rais atapandisha madaraja mwezi huu kwa watumishi elfu 59 na ushee.... Je nasi waalimu tutabahatika kupanda vyeo.
Hali ni ngumu sana wadau.
Ni mm mwalimu mtiifu...
HABARI
NI MUDA SASA WATUMISHI WA UMMA WANAOSTAHILI KUPANDISHWA VYEO WANASUBIRI KWA HAMU. WENGI WALIJIPA MOYO MWEZI HUU WA SABA MAMBO LABDA YATASOMA LAKINI HAMAD MWEZI UMEFIKA SALARY IPO VILEVILE, HAKIKA NI MAUMIVU MAKUBWA SABABU ILISHAZOELEKA KUPANDA NI SALARY YA JULY
TUMEWASIKIA VIONGOZI WETU...
HABARI
NI MUDA SASA WATUMISHI WA UMMA WANAOSTAHILI KUPANDISHWA VYEO WANASUBIRI KWA HAMU. WENGI WALIJIPA MOYO MWEZI HUU WA SABA MAMBO LABDA YATASOMA LAKINI HAMAD MWEZI UMEFIKA SALARY IPO VILEVILE, HAKIKA NI MAUMIVU MAKUBWA SABABU ILISHAZOELEKA KUPANDA NI SALARY YA JULY
TUMEWASIKIA VIONGOZI WETU...
Habari wana jamii forum. Naomba kuuliza Je serikali itapandisha vyeo/madaraja kwa wale ambao walipaswa kupanda mwaka jana.
Kwayeyote anayejua anifahamishe.
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.